FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hivi hii video hapo chini ni ya kweli au ni photoshop?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond anafuatiliwa na watu wengi, hasa vijana wadogo, sasa utasemaje tusimfuatilie pale anapopotosha vijana?! Wewe ndio chokoo2pac unamjua mzee wa dear Mama national Anthem ya dunia
Alitoboa pua
Kila mtu ana Uhuru wa mwili wake kufatilia Maisha ya Wanaume wenzio Ni dalili za uchokoo
Sifatilii mziki wa Tz hila sipendi. Mambo za kufatilia watu naamini Ni tabia za kike za watu waliokata tamaa mashoga nk
Mimi watoto wangu hawamjui Wala hawafahamu nyimbo yake hata mojaDiamomd anafuatiliwa na watu wengi, hasa vijana wadogo, sasa utasemaje tusimfuatilie pale anapopotosha vijana?! Wewe ndio chokoo
Unajua nini, usimfananishe Mondi na Brown, Mondi yuko juu sana kwa hapa Africa, Brown alikuwa juu zamani kwa US, so si chochote kwa Mondi. Ila huku kutoboa pua ni kutupiga na kitu kizitoMaybe jamaa na yeye anatafta kufanana na Chrus Brown ili na yeye apate hata collabo nae.
Maana kina Wizkid na Davido wote wametoa ngoma na CB, so chalii na yeye anatafta kufanana nae ili at least na yeye aonekane
Kila mahali jamaa yupo, hata usipomfuatilia utakutana naye tu kwenye Media, haepukiki..., sasa anapopotosha vijana lazima tupaze sauti.., wewe ndio choko sasaMimi watoto wangu hawamjui Wala hawafahamu nyimbo yake hata moja
Wazazi was sasa hivi mnafanya watoto wawe machoko kimaksudi sasa we Mtu mzima unamfatiliaje huyo choko Kama una akili timamu !
Mkuu unaishi wapi hadi ujiaminishe hawazijui nyimbo zakeMimi watoto wangu hawamjui Wala hawafahamu nyimbo yake hata moja
Wazazi was sasa hivi mnafanya watoto wawe machoko kimaksudi sasa we Mtu mzima unamfatiliaje huyo choko Kama una akili timamu !
Usimalize maneno maana mashoga hawaanzi kwa kufuatilia msanii fulani ushoga unaanza pale mwanao anapopigwa mkuyenge na akamwagiwa ndani.Mimi watoto wangu hawamjui Wala hawafahamu nyimbo yake hata moja
Wazazi was sasa hivi mnafanya watoto wawe machoko kimaksudi sasa we Mtu mzima unamfatiliaje huyo choko Kama una akili timamu !
Mjomba, Mondi hata akiloga haez kufika level za Chris bRown. Sio leo wala kesho.Unajua nini, usimfananishe Mondi na Brown, Momdi yuko juu sana kwa hapa Africa, Brown alikuwa juu zamani kwa US, so si chochote kwa Mondi. Ila huku kutoboa pua ni kutupiga na kitu kizito
Walokole wenyewe wanaojifanya dini kali wanamjuaKila mahali jamaa yupo, hata usipomfuatilia utakutana naye tu kwenye Media, haepukiki..., sasa anapopotosha vijana lazima tupaze sauti.., wewe ndio choko sasa
husikilizi nyimbo basi utamsikia hata kwenye pepsi mkubwa wao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila mahali jamaa yupo, hata usipomfuatilia utakutana naye tu kwenye Media, haepukiki..., sasa anapopotosha vijana lazima tupaze sauti.., wewe ndio choko sasa