Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Huo mtonyo hana wa kulipia watu USD
Hahaha kama yupo serious aende kuwalipia watu wa masaki/obay waliopanga appartment za usd 3000 kwa mwezi ambapo kwa miezi mitatu ni usd 9000 kisha azidishe familia 500 na exchange rate ya 2300
AMount = 9000 x 500 x 2300 = 10,350,000,000 Tsh