Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Jamaa ni bonge LA mfano, anarudisha kwenye jamiihongera kwa mond
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ni bonge LA mfano, anarudisha kwenye jamiihongera kwa mond
Labda anaandaa kesho yake kwa upande huoAna mpango wa kuingia kwenye siasa??
Mpk hapo anaingia kamanda maana ukimchek babutale kipindi hiki anashinda Sana moroAna mpango wa kuingia kwenye siasa??
Sasa mbona umeshatangaza humu, ungekaa kimya tuWrite your reply..."mi nikitoa msaada sitangazi sababu spendi show off na nimechangia barakoa na sanitizer kwa kijiji kizima na nimekataza media kulizungumzia hilo "
Ali kiba
Mi najiuliza hizo bei elekezi ni kwa kuzingatia nini hadi wafanyabiashara washindwe kuzitumiaNmetoka nje now
Kununua sukari ,pia nlikuaga nnashida na iriki na tangawizi
Dah imeisha 4000
Sent using Jamii Forums mobile app
Kik za Kipimbi tulishamzoea huyu hata akitoa msahada wa kiberiti kwa jirani atatangaza, kuna watu wanatoa misaada kimya kimya..
Kuna watu wametoa msaada wa janga la Corona, bilioni 2 kwa waziri Mkuu kimya kimya bila matangazo..
Wazee wa kupinga kila kitu cha WCB.Kik za Kipimbi tulishamzoea huyu hata akitoa msahada wa kiberiti kwa jirani atatangaza, kuna watu wanatoa misaada kimya kimya..
Kuna watu wametoa msaada wa janga la Corona, bilioni 2 kwa waziri Mkuu kimya kimya bila matangazo..
Kik za Kipimbi tulishamzoea huyu hata akitoa msahada wa kiberiti kwa jirani atatangaza, kuna watu wanatoa misaada kimya kimya..
Kuna watu wametoa msaada wa janga la Corona, bilioni 2 kwa waziri Mkuu kimya kimya bila matangazo..
Mwaka Jana aliahidu kutia msaada sumbawanga ktk shule ya sent...mpk Leo hajapeleka pesa ilikua Kiki tu sijuu hili km ataweza akumbuke mwezi mtukufu huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo zuri Sana hiliNajua katika kipindi hiki cha Corona, mambo mengi hayajakaa sawa, hususan upande wa biashara....nyingi zimeshuka na kupelekea hali ya kifedha kuyumba na mambo kuwa kidogo Magumu kwa wengi wetu...ijapokuwa na mimi ni Miongoni mwa walio ndani ya janga hili, lakini nimeona walau kwa kidogo changu nilicho nacho, nitoe kusaidia kulipia kodi za Nyumba kwa miezi Mitatu mitatu kwa familia 500, walau kusaidiana Katika kipindi hiki kigumu cha kupambana na Virusi hivi vya Corona...Licha ya kuwa Tiafa moja lakini siku zote mmekuwa Familia yangu kupitia Muziki wangu, hivyo naamini Shida yenu ni yangu, na Tabasamu lenu ni Langu pia....Jumatatu nitaweka rasmi Utaratibu wote wa namna gani Familia Hizi Miatano zinaweza kupata kodi hizo ya Nyumba....[emoji1374]
#HiliNaloLitapita #ShidaYakoNiYangu #PamojaTutaishindaCorona
.
.
(I pretty much know that at these terrible times where we are all fighting global pandemic COVID-19,countless life circumstances have changed especially in businesses, many businesses are drowning hence rendering to financial difficulties and life becoming a little bit tough to many of us. Although I am amongst those affected by this pandemic on Economy, with the little that God has blessed me with, I have decided to atleast offer a helping hand by paying 3 Months house rent to 500 families as my kind gesture of helping one another during these terrible times of fighting COVID-19 for I believe i should share your troubles and your happiness too. On Monday i shall announce procedure on how these 500 families shall receive house rent. [emoji1374])View attachment 1430165View attachment 1430166
Sent using Jamii Forums mobile app
Una roho ya kichawiKik za Kipimbi tulishamzoea huyu hata akitoa msahada wa kiberiti kwa jirani atatangaza, kuna watu wanatoa misaada kimya kimya..
Kuna watu wametoa msaada wa janga la Corona, bilioni 2 kwa waziri Mkuu kimya kimya bila matangazo..