Makamera yalimfata kiba sasa huyu anatangaza kwenye kapage kake ili apate kuongelewa, sitoshangaa akimaliza kutoa msaada akatoa na kawimbi ka kucopySawa unaumia sababu kafanya Diamond,ila Kiba na Goma lake walifanya walifanya hivyo na bila kusahau msikiti alio ukabizi alifanya mbele ya makamera ina maana naye kafuata masharti ya Mganga.
Waandishi walio wafuata na makamera habari walipewa na nani au walioteshwa.Makamera yalimfata kiba sasa huyu anatangaza kwenye kapage kake ili apate kuongelewa, sitoshangaa akimaliza kutoa msaada akatoa na kawimbi ka kucopy
Umesahau Diamond ule msikiti alibeba makamera na wabongo Muvi wavaa utupu
Huna akili ww timu kibamia 😀
Shoo zote ana zofanya,matangazo pesa anapeleka wapi au anafanya bure maana watu mna wivu kweliTukiweka hapa data halisi unaweza kimbia uzi. DIAMOND HANA HELA ni show off hata magari anayotumia ni show off. Hana kama udhaniavyo. Ni mama tu mjini hapa. Anzia kampuni WASAFI MEDIA au hata yy mwenyewe. ACHENI STORY ZA VIJIWENI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja waje wajioneeMsanii wa kimataifa ond Platinumz awapiga chenga ya mwili Alikiba, harmonize na H.Baba
Jionee mwenyewe
Usijifanye smart sana.
Ni Yale ya kukimbiwa na wazazi wenzake lakini hakulia akajikaza kiume...hahahahaaaaaa
Anhaa ya vyumba kumbe30,000x3x500=45,000,000/= (kadirio la chini). hongera kwake, si haba hata kidogo!
Alichonifurahisha ni kutotoa msaada wake kupitia serikalini....maana ccm waroho sana
Najua katika kipindi hiki cha Corona, mambo mengi hayajakaa sawa, hususan upande wa biashara....nyingi zimeshuka na kupelekea hali ya kifedha kuyumba na mambo kuwa kidogo Magumu kwa wengi wetu...ijapokuwa na mimi ni Miongoni mwa walio ndani ya janga hili, lakini nimeona walau kwa kidogo changu nilicho nacho, nitoe kusaidia kulipia kodi za Nyumba kwa miezi Mitatu mitatu kwa familia 500, walau kusaidiana Katika kipindi hiki kigumu cha kupambana na Virusi hivi vya Corona...Licha ya kuwa Tiafa moja lakini siku zote mmekuwa Familia yangu kupitia Muziki wangu, hivyo naamini Shida yenu ni yangu, na Tabasamu lenu ni Langu pia.
Jumatatu nitaweka rasmi Utaratibu wote wa namna gani Familia Hizi Mia tano zinaweza kupata kodi hizo ya Nyumba....🙏🏼
Maoni yangu: hapa zinaweza kuwa nyumba zisizozidi kodi ya elf 50 kwa mwezi, ila tukikadiria ni elf 50 basi ni 150,000 kwa miezi mitatu, hivyo kwa nyumba 500 ni takribani milioni 75, Ni kiasi ambacho ni kingi ila kijana kajipinda hivyohivyo, Hongera sana
more likely
We huna akili? Show ngapi? Unajua analipwaje kwenye hayo matangazo? Sio kwamba hana pesa ila hana pesa kama akili yako inavyotaka kuamini.Shoo zote ana zofanya,matangazo pesa anapeleka wapi au anafanya bure maana watu mna wivu kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia "nguvu" nyingi sana Boss.We huna akili? Show ngapi? Unajua analipwaje kwenye hayo matangazo? Sio kwamba hana pesa ila hana pesa kama akili yako inavyotaka kuamini.
KWA TAARIFA YAKO HUYO DIAMOND HADI LEO ANAMILIKI GARI MOJA ILE BMW X6 tangia 2014. Hizo zingine mbwembwe tu. WASAFI MEDIA SIO KAMA UDHANIAVYO KUWA KAMPUNI KUBWA. HATA HIVYO YY SIO MMILIKI KWA ANGALAU 50% ana vishare kidogo. Kapewa UDIRECTOR yy na MAMA yake tu. Hata ile v8 ni ya KAMPUNI SI YAKE BINAFSI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haters 45% unaona ndogo,Majizo EFM ana 40% ila kwa kuwa Diamond unapinga.V8 gani unazungumzia manake anazo tatu.We huna akili? Show ngapi? Unajua analipwaje kwenye hayo matangazo? Sio kwamba hana pesa ila hana pesa kama akili yako inavyotaka kuamini.
KWA TAARIFA YAKO HUYO DIAMOND HADI LEO ANAMILIKI GARI MOJA ILE BMW X6 tangia 2014. Hizo zingine mbwembwe tu. WASAFI MEDIA SIO KAMA UDHANIAVYO KUWA KAMPUNI KUBWA. HATA HIVYO YY SIO MMILIKI KWA ANGALAU 50% ana vishare kidogo. Kapewa UDIRECTOR yy na MAMA yake tu. Hata ile v8 ni ya KAMPUNI SI YAKE BINAFSI.
Sent using Jamii Forums mobile app