Msanii Ebitoke alia hadharani akimtaka Ben Paul kimapenzi

tupo watz million 45+
tuna mahekali ya ardhi
ukichoka kula ugali.... ipo kwaajili yako
makamera man wapo wataweka kumbukumbu zako..

Mwache aondoke atupunguzie idadi ya watu kwenye mgao wa Noah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]katumwa huyo kwani mapenzi lazima hebu ben paul kula kisha usepe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwache aondoke atupunguzie idadi ya watu kwenye mgao wa Noah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]katumwa huyo kwani mapenzi lazima hebu ben paul kula kisha usepe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah hapo nmecheka sana mkuu yan apunguze mgao wa noha at nini?????[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kinachonishangazaa pia... Wadada wengi waliokomenti hukuu wanasapoti mwenzao kujiua ni hatari Sanaa.... Mwacheni kapenda Boga na ua lake[emoji23][emoji23]
 
Kinachonishangazaa pia... Wadada wengi waliokomenti hukuu wanasapoti mwenzao kujiua ni hatari Sanaa.... Mwacheni kapenda Boga na ua lake[emoji23][emoji23]
Nimemfikiria Ben kama mwanangu alafu kuna mtu anamganda mpaka inakua kero
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yoyote anayewaza kujiua,hashndwi kukuua


[HASHTAG]#Sio[/HASHTAG] WA kuoa#
 
Kifo chake hakitaishangaza dunia....[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…