yorkshire
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 2,525
- 3,139
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Amsisitizie mkewe tu ajihadhari na bodaboda.
Maendeleo hayana chama
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Amsisitizie mkewe tu ajihadhari na bodaboda.
Maendeleo hayana chama
dah we jamaa unapenda kuwaprovoke hao wanaoamini kwenye islam sana,cpati picha ungekuwa na last say katika nchi hii mbona wangekukoma!Mkumbusheni mziki Ni Haraam kwa maelezo ya Mudy na huyo wanayemwita allah
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio ujue kuna tofauti ya mke na mwanamke na tambua kuwa kila mke ni mwanamke ila kila mwanamke sio mkeWadada mnajirahisi mnashikwashikwa na kuchezewa wee kisa wanaenda kuoa wa kawaida.. Mfano sahihi ni
Fid q
Ay
Mwana Fa
Masanja
Ali kiba
Etc
Sent using Jamii Forums mobile app
ni sunnah kuvaa hivyo kwenye ndoa za muslims kumbuka hizi dini kuu mbili zipo katika misingi ya tamaduni za middle east au ulayaKuvaa kama waarabu ndio fashion siku hizi au?
hivi ibrahim pasha mbona kama ni marehemu?Hongera kwake, kuamua kuacha uzinifu... Na kutimiza moja ya hatua muhimu katika maisha...
Sent from the Ottoman Empire Servers [emoji273] Instanbul...
Wadada mnajirahisi mnashikwashikwa na kuchezewa wee kisa wanaenda kuoa wa kawaida.. Mfano sahihi ni
Fid q
Ay
Mwana Fa
Masanja
Ali kiba
Etc
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha kati ya marehemu na mzimu wa marehemu... Muulize SULTAN anateseka na nini?
Huu ndio ukweli aggy. Hatukatai watu wapende.. ila sasa kuna wadada wanadhan kuwa uzuri ndio kigezo .. basi kutwa saloon. Mara dawa za.kuongeza tako.
Mwisho wa siku mwanaume anaoa mke wa kawaida sana mpaka unashangaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio ujue kuna tofauti ya mke na mwanamke na tambua kuwa kila mke ni mwanamke ila kila mwanamke sio mke
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna mkuu, ndivyo Quran yao inavyoelekeza,uislamu ungekua na last say ndo mngekoma,ilaumu Quran usinilaumu mimidah we jamaa unapenda kuwaprovoke hao wanaoamini kwenye islam sana,cpati picha ungekuwa na last say katika nchi hii mbona wangekukoma!
Sent using Jamii Forums mobile app
Avatar yako hua inanichanganya sana, inabidi niangalie mara mbili mbili
Avatar yako hua inanichanganya sana, inabidi niangalie mara mbili mbili
Nipo nje ya maada
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo siyo fashion bali imekuwa hivyo tangu enzi za mababu. Hasa maeneo ya ukanda wote wa pwani na kigoma. Kuvaa suti nako si uzungu huoKuvaa kama waarabu ndio fashion siku hizi au?
kwahiyo wewe ni mzuka wa jf sio!Tofautisha kati ya marehemu na mzimu wa marehemu... Muulize SULTAN anateseka na nini?
Sent from the Ottoman Empire Servers [emoji273] Instanbul...
haieleweki nini hichi ulichoandika?Mkumbusheni mziki Ni Haraam kwa maelezo ya Mudy na huyo wanayemwita allah
Sent using Jamii Forums mobile app