TANZIA Msanii Fred Kiluswa afariki Dunia

TANZIA Msanii Fred Kiluswa afariki Dunia

Fanyen kaz za nguvu vijana haya magar magar haya na machips mtanenepesha makalio then mufe kabla mwenzenu now niko na 78 onen hata uandikaj wangu kama kakijana lakin ukija kihom nipo na jembe na bebelea maji nyie mpo tu kama vibunzi
 
Fanyen kaz za nguvu vijana haya magar magar haya na machips mtanenepesha makalio then mufe kabla mwenzenu now niko na 78 onen hata uandikaj wangu kama kakijana lakin ukija kihom nipo na jembe na bebelea maji nyie mpo tu kama vibunzi
Umefikisha ujumbe mzee wangu sema ni kama umewakaripia sanaa..kuna njia nyingi z kufikisha jumbe
 
Dah huwa nikiweka Sinema Zetu namuonaona kiaina japo naagalia huku nafanya mambo mengine bila kuzingatia sana lakini sura yake ni ngeni
 
Fanyen kaz za nguvu vijana haya magar magar haya na machips mtanenepesha makalio then mufe kabla mwenzenu now niko na 78 onen hata uandikaj wangu kama kakijana lakin ukija kihom nipo na jembe na bebelea maji nyie mpo tu kama vibunzi
Unaonekana mtata sana ile staili ya mzee mpili
 
Back
Top Bottom