maskini kamfata mkewe. nishamjua jamaa big, dah maisha msala!Yeah ni huyo huyo.
Jamaa alikuwa anaishi peke yake mkewe nae ni marehemu watoto wapo Bukoba kwa bibi mzaa mama alilala asubuhi kimya kumbe ameshaenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maskini kamfata mkewe. nishamjua jamaa big, dah maisha msala!Yeah ni huyo huyo.
Jamaa alikuwa anaishi peke yake mkewe nae ni marehemu watoto wapo Bukoba kwa bibi mzaa mama alilala asubuhi kimya kumbe ameshaenda.
Huyu hakuwa mkongwe ila uwezo wake wa kazi ni wa hali ya juu sana.Dar Kila mtu muigizaji duh
Hakika, tofauti ni muda tuHapa kwenye tanzia ndo uwa nachoka Mimi.
Kila mtu ana tanzia yake tofauti muda tu.
Ukweli unauma enh!Aaaaah mdio mambo gani tena haya we mzee?
MnooooUkweli unauma enh!
Umefikisha ujumbe mzee wangu sema ni kama umewakaripia sanaa..kuna njia nyingi z kufikisha jumbeFanyen kaz za nguvu vijana haya magar magar haya na machips mtanenepesha makalio then mufe kabla mwenzenu now niko na 78 onen hata uandikaj wangu kama kakijana lakin ukija kihom nipo na jembe na bebelea maji nyie mpo tu kama vibunzi
Bado zamu yake pia inakuja tutakusanya rambirambi zake na yeye muosha huoshwaApumzike kwa amani
Namuona Steve Mengele akiwa kamati ya rambirambi hapo
mr pipa huyo usisahau ni pipaUmefikisha ujumbe mzee wangu sema ni kama umewakaripia sanaa..kuna njia nyingi z kufikisha jumbe
Acha tupungue tu maamaee ugali na oxygen imekuwa ya kugombania.Kuna mwamba mmoja alikuwa pale stendi ya tegeta nyuki,alikuwa ana tumboo kuubwaa,nae tumemzika last week,gafla kalala akuhamka,vijana wanaisha tutabakia wazee tuwastili wajane wao
Dogo jikite kwenye mada iliyopo jamvin acha porojo za ha na pale.Bado zamu yake pia inakuja tutakusanya rambirambi zake na yeye muosha huoshwa
Unaonekana mtata sana ile staili ya mzee mpiliFanyen kaz za nguvu vijana haya magar magar haya na machips mtanenepesha makalio then mufe kabla mwenzenu now niko na 78 onen hata uandikaj wangu kama kakijana lakin ukija kihom nipo na jembe na bebelea maji nyie mpo tu kama vibunzi
Ukijua sababu ya kifo chake utamfufua?Sababu za kifo chake ni nini mbona huwa hamleti taarifa zima mnaleta vipande vipande