Msanii gani maarufu umewahi kuonana naye live mkaongea mawili matatu

kuna ile fiesta nafkiri alikuja ludacriss au nani ila nafkiri ilikua mwaka 2011...nipo V.I.P niliongea na ROMA sana nikawa namuuliza kama mashairi yake hayajawahi mpa shida akasema hapana nikamwambia hata system haijawahi kumzingua ? tukabadilishana no pale basi...

alivyokuja kutekwa nadhani ni 2018 au 2019 sikumbuki nikambuka ile siku....

nilimhurumia sana
 
Ni 2017.
 
nini faida ya kuwa na meneja?
 
Dully sykes zamani sana alikuwa mshikaji nadhani ilikuwa around 2002 au 2003 wakati huo anatembea na "ATU" ,cha kusikitisha ATU alifariki kwa "NGOMA".

Father Nelly alikuwa msela wangu sana enzi hizo wakati nakaa "NGALIMI".
issue ya kifo cha faza nelly ilikuaje?
 
Niki mbishi hukumuona?
 
ipo channel gani hiyo channel
 
Actually wasanii wa Bongo nimekutana na P Funk Sana Kwenye Duka la Kina Drake anachukua Viatu USA, ila kwa suala la Bongo sishtukagi sana,
Ntaongelea watu maarufu kimichezo
Kwa Kifupi
Caragger wa Liverpool 2007's alikuwa na dada mmoja wa Kirusia ambaye tulikuwa tunafanya naye kazi amekuwa anatutembelea sana kazini

2010 Nilikutana Na Michael Essien AMSTERDAM akienda Ghana nami nikienda Bongo ila hatukuzungumza nilitamani nipate naye picha lakin haikuwezekana ,

Nimekutana na Wasanii wengi wa Kidunia (Mfano Cashley Cole)kwa kuwa mi mtu wa kujiachia, though hatupati Nafasi ya Kuwa close Sana,
 
duka la Drake huyu famous?
 
Hahahaaaa mi sikua teller nilikua customer service desk japo teller lazma atajua salio especially unapotaka kutoa hela
hii mbaya sana...najua wenye salio la kutosha watakuwa wanatumia hio nafasi kuwapata mateller wa kike kimapenzi
 
jamaa kakataa kuoa hahaaa[emoji2][emoji2][emoji2]
 
ukawanunulia bia mbili mbili[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
hivi haiwezekani kuwa na account maalum ili taarifa za mtu zisionekane?.najua watu wenye hela watakuwa wamewafaidi sana mateller maana teller mwanamke akiona salio kubwa lazima ajichekeshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…