Msanii gani maarufu umewahi kuonana naye live mkaongea mawili matatu

vipi ulimpa?
 
mtaa gani??[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kwa kina dullayo bado wanafuga mabata yao? Majumba sita
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] alikuwa anavimba
 
QJay nilikutana mara mbili Bukoba, mara ya kwanza mtaani tukaongea mawili matatu, mara ya pili nikakutana nae Club. Songa nilikutana nae Dar, kuna mshkaji wangu ni rafiki yake alikuja nae maeneo ya maskani
anasemaje Songa?
 
Dully anammendea mamdogo wangu miaka mingi sana
 
2018 nimekutana ba Belle 9 naelekea mwanza nimepanda kisbo tulikaa sit moja yeye alipandia moro akashuka dodoma.muongeaji kawaida tu ila alikua anajishtukia shtukia sasa sijui why...ila usanii ni kazi ngumu sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…