Yo majesty
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 687
- 1,179
Pah one, belle 9 na manywere zoba wa bongo movie jamaa nlikutana nae mlimani city Yuko PC sana alinipigisha storypaka nikamkimbia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chidi nimekutana nae juzi kimara mwisho Hana mwili kabisa yaani Mimi nae yeye Mimi baunsa [emoji2]Nina bahati mbaya ya kukutana na wasanii wakiwa washaporomoka. Niliwahi kukutana cheed benzino twitter pub ikiwa inavuma, niliwahi kukutana na wema sepenga hapo hapo jirani na twitter kwa frank fundi wa kitimoto. Niliwahi kukutana msanii sio maarufu sana kule ubungo pale tanesco ndani ndani kuna bar ya mwenyekiti, nilimwona anakunywa chibuku mimi ndio nikampiga tafu kilimanjaro 2 kubwa.
Hiyo stori ya kupiga pepa fasta ili awahi tusker project fame niliwahi pia kumsikia akisimulia.Peter Msechu. Shule moja advance ila alikuwa ametutangulia kidato. Pepa ya form six alifanya mbio mbio kashapak mabeg yake kuwah basi la dsm then train kuwah tusker project.
Alipeform saaana kwenye graduu za shule
Yees.Hiyo stori ya kupiga pepa fasta ili awahi tusker project fame niliwahi pia kumsikia akisimulia.
Jb ukitaja awe kwenye filamu uanacharge how muchNimewahi kufanya kakazi na JB...yupo poa sana hana noma,
Hii ya mr chicks nafkiri ni ile LB walikuja bongo miaka ile...Lost Boyz Mr cheeks ilikuwa club bill billcanas
Brenda fussie ilikuwa sea clif hotel
Yvonne chakachaka nlikutana naye agies record
Hao wakina sugu tushakutana mara kibao tu
Wengine nmewasahau
Ova
Mkuu ww ni fundi?Duly sykes, lady j dee, harmonize, lulu. Hao nakutana nao sana na kuwasiliana. Wengine wengi mno nakutana nao mikocheni kwa Papaa Mudilo. Leo naenda nyumbani lounge madam komando kaniita kwa kazi fulani ya kiufundi.
Nilikua Manager kwenye kampuni flani ni kubwa sasa hv so tulimpa 3m kwa Tangazo tu..! That was 2012 nafkiriJb ukitaja awe kwenye filamu uanacharge how much