Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
Nakumbuka kwangu enzi nipo Arusha miaka ya 2016 , Nlikuwa na kawaida ya kwenda club D maeneo ya Moshono.
Siku ya siku wakaja kina Mr Blue na Rommy Jons ambae alipewa u DJ.
Cha ajabu hatukuwa wengi sana, hatukufika hata 30,
Basi ikawa Mr Blue ananipa mic sana tu niwe nafuatiliza nyimbo zake maana nilikuwa nimezikariri nyingi.
Ilikuwa poa sana ile siku kwangu, Jamaa yupo peace hana makuu
Mpoki ndiyo kawaida yake ana zarau sanaKuna msanii mmoja enzi hizo akiwa mchekeshaji na sasa ni mtangazaji mkubwa sana sita taja jiana lake
Tulikua nae mitaani anaishi kwao na mama yake, alikua anatupiga sana mizinga ya ninunulie konyagi ndogo na nauli za kwenda kufanya shooting na kutuomba nyumba kama location
Binafsi amefanyia shooting kwenye geto langu
Sasa hivi akija mtaani na ndinga yake kuja kumsabahi mama yake anatupita full vioo vya tinted hata salamu tu hakuna
Siku moja tukamtolea uvivu kwa mama yake ni jirani na grosary tukapaki gari tuka mblock ikabidi aje grosary kuomba gari itoke ili atoe yake
Wananzengo wakaanza kumpa makavu live kwamba hatutaki hela zake ila salamu tu kama enzi hizo
Basi kuanzia siku hiyo akawa lazima ashuke aje tupige stori sana na kama yupo njema anatembeza konyagi huyo
Huyu jamaa kuna siku nilimkuta mtaani amelewa chakari, anaongea maandazi tu! Jicho nyanya!Afande Sele, nilionana nae maeneo karibia na Sinde, wayback 2006. Yuko simple sana, anapiga stori kama siyo star vile enzi hizo.
kitambo,mwamba naona anadunda tu.Dully sykes zamani sana alikuwa mshikaji nadhani ilikuwa around 2002 au 2003 wakati huo anatembea na "ATU" ,cha kusikitisha ATU alifariki kwa "NGOMA".
Father Nelly alikuwa msela wangu sana enzi hizo wakati nakaa "NGALIMI".
huyo Q J anapiga mizinga balaaQ Jay na Songa
Yes mwamba bado anadunda tu shavu kama LOTE!! MANGO yake ipo fresh labda "KERIA" au "NJUGU" zinampenda.kitambo,mwamba naona anadunda tu.
Mpoki ndiyo kawaida yake ana zarau sana
Ana hali tete ya kiuchumihuyo Q J anapiga mizinga balaa
QJay nilikutana mara mbili Bukoba, mara ya kwanza mtaani tukaongea mawili matatu, mara ya pili nikakutana nae Club. Songa nilikutana nae Dar, kuna mshkaji wangu ni rafiki yake alikuja nae maeneo ya maskaniHawa unakutana nao wap
hahahaaa! labda msongo wa mawazo ndo unapelekea hivyo.Huyu jamaa kuna siku nilimkuta mtaani amelewa chakari, anaongea maandazi tu! Jicho nyanya!
kweli,sema kama katulia fresh ila kama bado anainua mistimu kutandaza nyaya watu wapate nishati kwa wingi sio poa.Yes mwamba bado anadunda tu shavu kama LOTE!! MANGO yake ipo fresh labda "KERIA" au "NJUGU" zinampenda.
mboso kwao?? au ulimanisha kwakeMboso ..tangu hajawa star Hadi sasa tukikutana maeneo ya kwao akija kutembea na Mimi nikiwa maeneo hayo salamu za hapa na pale..yupo poa Sana
Godzila (r.i.p)..enzi hizo naishi mbezibeach tulikuwa tunakutana mida ya jioni pale belinda kwa story za hapa na pale na marafiki zangu
Dullyskyes..kwa mara ya Kwanza tulikutana yahya boutique kino..mazoea yakaanzia hapo jamaa yupo straight hapindishi ukizingua
Nitarudi
uliona vipimo au ulijuaje ni ngoma mkuu,au ndio macho yanatoshaDully sykes zamani sana alikuwa mshikaji nadhani ilikuwa around 2002 au 2003 wakati huo anatembea na "ATU" ,cha kusikitisha ATU alifariki kwa "NGOMA".
Father Nelly alikuwa msela wangu sana enzi hizo wakati nakaa "NGALIMI".
Kwa wazazi wakemboso kwao?? au ulimanisha kwake
duh mpaka umri huo bado tu anapishana na dada zakeKwa wazazi wake