Msanii gani maarufu umewahi kuonana naye live mkaongea mawili matatu



!
!
Nash Mc, Sugu, Jiz Mabovu, Skwiza, na Mke wangu
 
Nishawahi mchezea rafu ya makusudi Stamina pale Mazimbu ground ili nione itakuwaje.
 
Mpoki ndiyo kawaida yake ana zarau sana
 
Afande Sele, nilionana nae maeneo karibia na Sinde, wayback 2006. Yuko simple sana, anapiga stori kama siyo star vile enzi hizo.
Huyu jamaa kuna siku nilimkuta mtaani amelewa chakari, anaongea maandazi tu! Jicho nyanya!
 
mboso kwao?? au ulimanisha kwake
 
Dully sykes zamani sana alikuwa mshikaji nadhani ilikuwa around 2002 au 2003 wakati huo anatembea na "ATU" ,cha kusikitisha ATU alifariki kwa "NGOMA".

Father Nelly alikuwa msela wangu sana enzi hizo wakati nakaa "NGALIMI".
uliona vipimo au ulijuaje ni ngoma mkuu,au ndio macho yanatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…