Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Anayeteseka ni wewe anayesumbukia watu wengine badala ya kujitengenezea jina. Umeona usupa staa dili siyo? Wangapi wameishia kwenye mibangi na kukopa ili waishi kwenye ndoto badala ya ukweli na uhalisia? Kawaulize akina Wema wanaopondeka na kusagika wakijiona kisa usupa staaa uchwara wa bongo.Unateseka na nini?