Msanii gani maarufu umewahi kuonana naye live mkaongea mawili matatu

Msanii gani maarufu umewahi kuonana naye live mkaongea mawili matatu

Nakumbuka kwangu enzi nipo Arusha miaka ya 2016 , Nlikuwa na kawaida ya kwenda club D maeneo ya Moshono.

Siku ya siku wakaja kina Mr Blue na Rommy Jons ambae alipewa u DJ.

Cha ajabu hatukuwa wengi sana, hatukufika hata 30,

Basi ikawa Mr Blue ananipa mic sana tu niwe nafuatiliza nyimbo zake maana nilikuwa nimezikariri nyingi.

Ilikuwa poa sana ile siku kwangu, Jamaa yupo peace hana makuu
Roma mkatoliki tunachimba nae vyoo huku ulaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uliona vipimo au ulijuaje ni ngoma mkuu,au ndio macho yanatosha
ATU ndiye aliyetuambia kwamba ameathirika na alikufa kwa kilo mbili si unajua NGOMA ya zamani ilikuwa lazima ukonde maana "NJUGU" zilikuwa bado hazijaja.
 
Nina bahati mbaya ya kukutana na wasanii wakiwa washaporomoka. Niliwahi kukutana cheed benzino twitter pub ikiwa inavuma, niliwahi kukutana na wema sepenga hapo hapo jirani na twitter kwa frank fundi wa kitimoto. Niliwahi kukutana msanii sio maarufu sana kule ubungo pale tanesco ndani ndani kuna bar ya mwenyekiti, nilimwona anakunywa chibuku mimi ndio nikampiga tafu kilimanjaro 2 kubwa.
 
Mboso ..tangu hajawa star Hadi sasa tukikutana maeneo ya kwao akija kutembea na Mimi nikiwa maeneo hayo salamu za hapa na pale..yupo poa Sana

Godzila (r.i.p)..enzi hizo naishi mbezibeach tulikuwa tunakutana mida ya jioni pale belinda kwa story za hapa na pale na marafiki zangu

Dullyskyes..kwa mara ya Kwanza tulikutana yahya boutique kino..mazoea yakaanzia hapo jamaa yupo straight hapindishi ukizingua

Nitarudi
Walikuwa wanakuomba "chohote" dyadya[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka kwangu enzi nipo Arusha miaka ya 2016 , Nlikuwa na kawaida ya kwenda club D maeneo ya Moshono.

Siku ya siku wakaja kina Mr Blue na Rommy Jons ambae alipewa u DJ.

Cha ajabu hatukuwa wengi sana, hatukufika hata 30,

Basi ikawa Mr Blue ananipa mic sana tu niwe nafuatiliza nyimbo zake maana nilikuwa nimezikariri nyingi.

Ilikuwa poa sana ile siku kwangu, Jamaa yupo peace hana makuu
Peter Msechu, nilimkuta ofisini kwa boss wangu nikamsalimia na kupiga story 2-3 ndo nikagutuka kuwa ni Msechu....apunguze tu kitambi maana duh
 
Nina bahati mbaya ya kukutana na wasanii wakiwa washaporomoka. Niliwahi kukutana cheed benzino twitter pub ikiwa inavuma, niliwahi kukutana na wema sepenga hapo hapo jirani na twitter kwa frank fundi wa kitimoto. Niliwahi kukutana msanii sio maarufu sana kule ubungo pale tanesco ndani ndani kuna bar ya mwenyekiti, nilimwona anakunywa chibuku mimi ndio nikampiga tafu kilimanjaro 2 kubwa.
Huyo wa chibuku atakua Mbdog, mtoto wa ubungo (kibangu)
Mimi nilishamtoaga kwenye kundi la wasanii

Mb dog popote ulipo kula 5 za nguvu, mwana amejua kubadirika na mazingira
 
KR mulla jibaba cd 700,huyu bro tumecheza nae soka pale kiburugwa mbagala.....jamaa amekonda kinoma tofauti na ile miaka walivyokuwa wanapiga mapanga shaah na tmk,Anaupiga mwingi jamaa sijui kwa nini hakutaka kucheza soka la kulipwa!!!
Mzee blunti huyo
 
Back
Top Bottom