Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Hapana alivyikuwa anakuja kutembea..duh mpaka umri huo bado tu anapishana na dada zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana alivyikuwa anakuja kutembea..duh mpaka umri huo bado tu anapishana na dada zake
Roma mkatoliki tunachimba nae vyoo huku ulayaNakumbuka kwangu enzi nipo Arusha miaka ya 2016 , Nlikuwa na kawaida ya kwenda club D maeneo ya Moshono.
Siku ya siku wakaja kina Mr Blue na Rommy Jons ambae alipewa u DJ.
Cha ajabu hatukuwa wengi sana, hatukufika hata 30,
Basi ikawa Mr Blue ananipa mic sana tu niwe nafuatiliza nyimbo zake maana nilikuwa nimezikariri nyingi.
Ilikuwa poa sana ile siku kwangu, Jamaa yupo peace hana makuu
Hahahahaa atakuwa katulia hana mambo mengi labada kaona sio poa kutandaza nyaya.kweli,sema kama katulia fresh ila kama bado anainua mistimu kutandaza nyaya watu wapate nishati kwa wingi sio poa.
ATU ndiye aliyetuambia kwamba ameathirika na alikufa kwa kilo mbili si unajua NGOMA ya zamani ilikuwa lazima ukonde maana "NJUGU" zilikuwa bado hazijaja.uliona vipimo au ulijuaje ni ngoma mkuu,au ndio macho yanatosha
Dully kila Club inayovuma mjini hakosekani.Hahahahaa atakuwa katulia hana mambo mengi labada kaona sio poa kutandaza nyaya.
2014 nilikuwa nakutana nae Moro- Mazimbu sometimes alikuwa anatimba na Mark 2 Grande Gx110 akiwa na denti wa SUA. Na kuna kipindi alikuwa anakuwa na Linex Mjeda wana bembea na watoto wa SUA.Dully kila Club inayovuma mjini hakosekani.
Na akilewa lazima aondoke na demu kuanzia wawili.
Dooh kama ni hivyo basi ni hatari.Dully kila Club inayovuma mjini hakosekani.
Na akilewa lazima aondoke na demu kuanzia wawili.
Walikuwa wanakuomba "chohote" dyadya[emoji3][emoji3][emoji3]Mboso ..tangu hajawa star Hadi sasa tukikutana maeneo ya kwao akija kutembea na Mimi nikiwa maeneo hayo salamu za hapa na pale..yupo poa Sana
Godzila (r.i.p)..enzi hizo naishi mbezibeach tulikuwa tunakutana mida ya jioni pale belinda kwa story za hapa na pale na marafiki zangu
Dullyskyes..kwa mara ya Kwanza tulikutana yahya boutique kino..mazoea yakaanzia hapo jamaa yupo straight hapindishi ukizingua
Nitarudi
Peter Msechu, nilimkuta ofisini kwa boss wangu nikamsalimia na kupiga story 2-3 ndo nikagutuka kuwa ni Msechu....apunguze tu kitambi maana duhNakumbuka kwangu enzi nipo Arusha miaka ya 2016 , Nlikuwa na kawaida ya kwenda club D maeneo ya Moshono.
Siku ya siku wakaja kina Mr Blue na Rommy Jons ambae alipewa u DJ.
Cha ajabu hatukuwa wengi sana, hatukufika hata 30,
Basi ikawa Mr Blue ananipa mic sana tu niwe nafuatiliza nyimbo zake maana nilikuwa nimezikariri nyingi.
Ilikuwa poa sana ile siku kwangu, Jamaa yupo peace hana makuu
Kapata mtoto(amekuwa baba) tena mwaka huuDooh kama ni hivyo basi ni hatari.
Huyo wa chibuku atakua Mbdog, mtoto wa ubungo (kibangu)Nina bahati mbaya ya kukutana na wasanii wakiwa washaporomoka. Niliwahi kukutana cheed benzino twitter pub ikiwa inavuma, niliwahi kukutana na wema sepenga hapo hapo jirani na twitter kwa frank fundi wa kitimoto. Niliwahi kukutana msanii sio maarufu sana kule ubungo pale tanesco ndani ndani kuna bar ya mwenyekiti, nilimwona anakunywa chibuku mimi ndio nikampiga tafu kilimanjaro 2 kubwa.
Mzee blunti huyoKR mulla jibaba cd 700,huyu bro tumecheza nae soka pale kiburugwa mbagala.....jamaa amekonda kinoma tofauti na ile miaka walivyokuwa wanapiga mapanga shaah na tmk,Anaupiga mwingi jamaa sijui kwa nini hakutaka kucheza soka la kulipwa!!!
"ukamwomba namba ya simu akakuambia Sina...."[emoji1]Juzi juzi tuu, my bet artist Fid Q, nikawa namuangalia tuu kama nimeduwaa,yeye akanisalimia, nikampa mkono pia.
kamua baba kamua.Mzee blunti huyo