Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
2pac
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv bado iko active hii pubYaeh! Twitter ya Kinondoni Manyanya.
Nae maarufu?Heeeh wee humjui foby? Hit maker wa "NIOKOE"
Siku hizi imechoka sana tu. Watu wa maeneo haya siku hizi huwa tunakunywa Papii churo, kuna bar nyingine ipo nyuma ya Mwanamboka NBC ya zamani, Matema aka C PARK nk. Hata hizi bar za kuanzia Studio kuelekea Mwananyamala A asilimia kubwa zimechoka.Hv bado iko active hii pub
Nilikutana na bambo...chooni wakat tumejipanga mstari wa kumwaga kojo la bia...bar ya zambezi riverside 2012
Wa hovyo wewe na waliokuzaa ukakosa adabu
Angekufunga kimasihara hivi hivi man. Ume-pirate kazi yake.Ni P the Mc, tena alinikuta nasikiliza ngoma yake "mama mjane" dah ilikuwa fresh aisee, jamaa alikuwa happy sana nikamuonesha kwenye pc yangu Kuna ngoma zake karibu zote na wasanii wenzake WA tamaduni.
Sent from my 502SO using JamiiForums mobile app
Basi umetisha kamanda haswa huo mstari wa mwisho ni balaaMie nakutana sana na mchekeshaji Mkwere ninajenga Kimara (nyumba ya kupangisha) jirani na kwake. Uwa tunapiga sana story . Prof. J pia mshikaji tunaongea nae, Afande Sele mwanangu mno na kuna msanii mmoja wa kike maarufu nilishapita nae kinyumba enzi zangu
Mimi huwa nanunua albumAngekufunga kimasihara hivi hivi man. Ume-pirate kazi yake.
Kudadeki tellers mnachungulia sana salio la watuNina ofisi ya photoshoot pande flani town wasanii kibao wa bongomovie,gospel na bongoflavour mpaka tulishawazoea hasa madem. Tena hadi wale wauzaji wakubwa bongo wanakuja, kuna jamaa yangu wa mkoa siku alikuja kunitembelea akamkuta dem mmoja basi yule dem alivoondoka jamaa akashangaa sana kumuona akanambia ni dem ananuonaga tu insta ni maarufu sana akanionesha akaunti ya huyo dem aisee utasema dem anaishi marekani na anafollowers zaidi ya milioni.
Ila zamani nilikutana na shilole kwenye atm na sikumtambua akawa ananiuliza kadi yake inazingua ilikua ya benki nyingine. Jamaa yangu ndo akanambia ulikua unaongea nini na shilole ndo nikagundua. Matonya nae alikua mshkaji sana pindi nafanya kazi benki nilimsaidia kujaza account opening form na hata slips nilikua namsaidia kujaza coz kuandika kwake ilikua ni shida sana,so kama anakuja benki ilikua lazima anipigie simu. Akaunti yake haikuwa haba mpaka nikawa najiuliza ndo badae nikajaga kuskia kumbe ngada
Mkenya ni yule jamaa mfupi mwenye kipara.... Au nimechanganya madawa???diamond platnumz maeno ya sinza vatcan..alipokua anataka kuwapangishia dancers wake..hiyo nyumba alokua anaitaka..ipo jirani na ninapoishi.. jamaa anaongea haraka haraka mno[emoji23][emoji23]
pia bwana Juma Mchopanga (JAY MOE) ni jirani yangu..huwa tunapiga sana stori kijiweni kwa mkenya[emoji28][emoji28]