Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Kenyewe ako ka Zuchu hakana kipaji kanaforce tu kuimba ndo maana kamekimbilia kuimba nyimbo za CCM mapema.Hahaa WCB huwa sijui mnautapia mlo wa kufikiri
Yaani huwaga hamtaki kabisa kuupokea ukweli hata kama ukweli huo umejiweka dhahiri kabisa kama nyeti za mbuzi
Huyo uliye m-quote ambaye ndiye mleta mada ni WCB kindaki ndaki
But Leo kaamua kuacha ushabiki maandazi na kuongea ukweli " Needhani sasa ameona ukweli kuwa hao WCB hawa play game fair wanapenda sana fitna na uswahili uswahili
That's why wanatumia nguvu kubwa za fitina ili wamshushe nandy then wampandishe sijui puchu sijui kuku ooohh sorry mnamuita zuchu if I'm not mistaken
Hivi inaingia akilini kuongelewa kwa Nandy ndio Zuchu apande kimuziki? Inawezekanaje.Gigy ametumwa na wasafi na lengo ni kumshusha Nandy ili Zuchu atrend ,na Nandy amefanya vizuri kunyamaza na anatakiwa asijibu huo upuuzi wa Gigy,hadi gigy atajiona mjinga , halafu kwa kujipendekeza ataanza kujirudisha kwa nandy mwenyewe.
Hawawezi kumshusha Nandy,ilizuka scandal ya nandy na billnenga hadi video hajashuka sembuse huo ujinga wa kuongea tu.
Zipi ? you are hater hawana taratibu hizo.Hilo ni swala la TCRA na wana taratibu zao...
Hivi inaingia akilini kuongelewa kwa Nandy ndio Zuchu apande kimuziki? Inawezekanaje.
Basi angepanik kipind yupo uchi na billnasUnajua maana ya kumharibia mtu image yake ?
Hapo msanii kama hajatulia atapanic na kujibu kwa kukurupuka kumbe anajiharibia
Basi angepanik kipind yupo uchi na billnas
Basi hata hili dogo halitomsumbuaPale alionyesha ukomavu mkubwa ingawa skendo ilikuwa kubwa
Hata mimi nimejuliza hili swali na wengi walikuwa wakitoa lawama kwa Ruge lakini ukweli unaanza kuonekana kuwa watu wengi ni zaidi ya Ruge na pengine walikuwa wana msingizia lakini wao sasa wanafanya yale walio kuwa wana msingizia Ruge!
Watu wanafikiri Nandy akianguka ndio msanii wanao muhitaji atapata nafasi huu ni ujinga!
Basi hata hili dogo halitomsumbua
Yaani yuko very overratedKenyewe ako ka puchu hakana kipaji kanaforce tu kuimba ndo maana kamekimbilia kuimba nyimbo za CCM mapema.
Kwa hiyo hapo image ya Nandy inapoharibika moja kwa moja Zuchu anapanda kimuziki (kwamba hakuna wasanii wengine wa kike). Naona kama ilikuwa inatafutiwa ubaya Wasafi na sio Gigy.Unajua maana ya kumharibia mtu image yake ?
Hapo msanii kama hajatulia atapanic na kujibu kwa kukurupuka kumbe anajiharibia
HahahahaWe ndo kichaa mwokota makopo umeingia JF
Sasa mzee baba Mameneja wenyewe wa diamond (Tale,Fella,Salaah) wote ni darasa la 7 hao mixer kuamini mambo ya waganga usitegemee kudhani wanafikiria mipango ya muda mrefu,wao ni mipango ya leo leo tu then imesha hioooooooooooooo.Hayo mambo ya wasanii kuwa wa media flani sio ya juzi au ya jana lakini mindset za mmoja ashuke ili mwingine apande ndo zipo sana
Angalia case ya kanumba au mzee Yusuph. Nini kilitokea baada ya hao watu kupotea
Hivi vitu ni vibaya ndo maana hata muziki haufiki mbali, angalia nigeria tu kwa wasanii wa kike tena international acts kuna tiwa, Yemi, Simi , sey shei na wengine kibao
Rudi hapa bongo, watu wanaona zuchu akikua kwenye lane yake hatofika mbali hadi awashushe vanessa na nandy, huu ni upuuzi
Hahahaha kwa sababu nimechagua kuwa positive na matendo ya WCB ni negativeWewe tena na WCB ningeshangaa ungeongea tofauti.
Hapo ndio utabaini kwamba tatizo hakuwa ruge tatizo walikuwa ni waoHata mimi nimejuliza hili swali na wengi walikuwa wakitoa lawama kwa Ruge lakini ukweli unaanza kuonekana kuwa watu wengi ni zaidi ya Ruge na pengine walikuwa wana msingizia lakini wao sasa wanafanya yale walio kuwa wana msingizia Ruge!
Watu wanafikiri Nandy akianguka ndio msanii wanao muhitaji atapata nafasi huu ni ujinga!
Hahaa imeisha hiyooSasa mzee baba Mameneja wenyewe wa diamond (Tale,Fella,Salaah) wote ni darasa la 7 hao mixer kuamini mambo ya waganga usitegemee kudhani wanafikiria mipango ya muda mrefu,wao ni mipango ya leo leo tu then imesha hioooooooooooooo.
Negative kwa kuongozwa na hisia kuliko uhalisia.Hahahaha kwa sababu nimechagua kuwa positive na matendo ya WCB ni negative
Nilikuja kumuona yule binti ni mtoto ile majuzi pale Dodoma alivyomaliza kuimba akaomba akamsalimie Magu akapewa ruhusa hio eti ametoka kushikana mkono na Magu akaanza kulia eti yuko excited hahah,nikaona haka katoto kumbe bado ni kajinga sana.Yaani yuko very overrated