Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Aisee ... Naomba uni-add katika hiyo commentNegative kwa kuongozwa na hisia kuliko uhalisia.
Juzi kuna mdau kaleta thread hapa verse ya harmonize (Nandy ft Harmonize) imejaa matusi,nikaona unatetea lkn kama ingekuwa Diamond au WCB ungeponda manake huna tofauti na sigara kali.
Double standards=Unafiki.
Double standards=Unafiki.Aisee ... Naomba uni-add katika hiyo comment
mbona man water alipokuwa anadai fedha kwa kiba alienda hadi clouds????Wewe punguza pressure angalia Gigy anazunguka kwenye radio gani na tv gani kumchafua Nandy hahahaha
Good Question.mbona man water alipokuwa anadai fedha kwa kiba alienda hadi clouds????
Basi wewe ndiye mnafiki .. Sio Mimi ulipaswa kuja na huo uthibitisho ' kinyume na hapo itakuwa unanizushiaDouble standards=Unafiki.
Sina haja ya kukuadd.
WCB wamefanya nini hapo na wewe???? mbona hata clouds walifanya interview na man water kipindi anadai fedha zake kwa Kiba???WCB wana ujinga mwingi sana tatizo n mazumbukuu tangu managers, wasanii hadi maids wao, hovyoooooh msieeeeew zao.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mnafiki.Basi wewe ndiye mnafiki .. Sio Mimi ulipaswa kuja na huo uthibitisho ' kinyume na hapo itakuwa unanizushia
SawaMnafiki.
Hivi unajua hata unachozungumza? Hebu ficha ujinga wako hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msieeeeeewWCB wamefanya nini hapo na wewe???? mbona hata clouds walifanya interview na man water kipindi anadai fedha zake kwa Kiba???
mbona man water alifanyiwa interview na clouds alipokuwa anadai fedha zake kwa Kiba???? naye alitumwa au??Na wewe usiwe fala kuku wewe,hapo ni Nandy anachafuliwa ili ashuke kimziki maana wameona bila hivo Zuchu hawezi kutrend
wewe ndio mjinga. unataka kusema man water naye alitumwa clouds ili amchafue Kiba????Hivi unajua hata unachozungumza? Hebu ficha ujinga wako hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msieeeeeew
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Angalia hiyo statement yako na kweny hili linahusiana vipi? Huyo giggy anamdai nn nandy? Au unaropoka tyuuuh?wewe ndio mjinga. unataka kusema man water naye alitumwa clouds ili amchafue Kiba????
Gigy anazingua kumbe, kongole kwa Nandy kama ameamua kua kimya aendelee hivyo hivyo, kukaa kimya ni jibu la mjinga....Babeeeh no hiviii giggy ana slay huko kweny wasafi media kumu attack Nandy, bila 7but za msingi, na anajitapa kuwa km Nandy mjanja basi arudishe mashambulizi atatoa files zake zotee, but Nandy hamjibu yupo tyuuh bizze na life lake.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
we ndio unaropoka. Swala sio kumdai, swala ni mgogoro. Man water alipokuwa anadai fedha mbele ya media huoni kama alimchafua Kiba mbele ya jamii kama anavyofanya huyu gigy money????Angalia hiyo statement yako na kweny hili linahusiana vipi? Huyo giggy anamdai nn nandy? Au unaropoka tyuuuh?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
mbona man water alifanyiwa interview na clouds alipokuwa anadai fedha zake kwa Kiba???? naye alitumwa au??
Linahusiana vizuri sababu hata aliyeleta mada kwa kiasi fulani ameilenga wasafi kwa aliyoyaeleza Gigy(kwamba Wasafi wanamtumia Gigy ili amchafue Nandy) sasa vipi na Man Walter alivyoenda kueleza malalamiko yake Clouds na yeye alitumwa amchafue Ali Kiba?Angalia hiyo statement yako na kweny hili linahusiana vipi? Huyo giggy anamdai nn nandy? Au unaropoka tyuuuh?
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
we umefuatilia gigy money halafu ujajua anataka nini???Man walter ile ni hela na ni haki yake,Gigy anachotaka kwa nandy ni nini