Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
dawa ya makapurwa kama hawa wanaojifinya vichaa kwasababu amezaliwa chooni, unamuacha bila kumjibu ili aendelee kuongea na akitoa defamatory statements(muhusika aliyeongea pamoja na chombo cha habari kilichorusha habari husika) wanakutana na Demand Note Letter kutoka kwa Wakili wako nadhani itakuwa fundisho kwa kenge wengine wote.