Kafariki au?
Hapana. Aliomba tu awekwe mortuary kwa ridhaa yake.
Wtf.
Umesomeka vyema mkuu.Asante mkuu, nahisi miziki yake sio type yangu. Jina nalijua miziki yake siijui
Haa kumbe huu kaimba yeyeMoja kati ya nyimbo zisizo chosha kusikiliza kutoka kwa Godzilla, apumzike kwa amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu tena.Anhaa sawa mkuu
He had so much potential
Karibu tena.
Je, ungependa na wewe kuwa na ombi kama hilo?
So papuchi imemn'goa mkuu wetu dah !Jamaa alikΓΌwa na stress sana yaan hata tweets zake uko mtandao wa twitter zinajithihirisha
R.I.P Golden
Hapana. Aliomba tu awekwe mortuary kwa ridhaa yake.
Wtf.
Kifo hakifai mkuu... Siku niliyosikia Masogange kafariki ghafla tu duuh ndo nilibaki mdomo wazi..[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Ningekuwa muumba bora ningemtanguliza yule Dada mpenda kukaa uchi sijui poshy kwini au wema lkn sina namna kila mtu kwa wakati wake,pumzika mahala ulipojiandalia wakati wa uhai wako Godzilla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu tena.
Je, ungependa na wewe kuwa na ombi kama hilo?
ππππππππ