Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
😂😂😂Wewe ni mwanangu kabisa yaani. Nimemaliza chuo 2007. Piga mahesabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Wewe ni mwanangu kabisa yaani. Nimemaliza chuo 2007. Piga mahesabu
Asante mkuu, nahisi miziki yake sio type yangu. Jina nalijua miziki yake siijuiZillah alikuwa msanii mkubwa sana,Labda kama wewe si mfuatiliaji wa muziki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hunijui vizuri weweAlafu wewe!hebu futa kauli yako bas...ni vile ww sio mpenzi ww wa clubbing..miziki ya zilla yt inabang balaa club..acha kbs..!sijui nisemeje..
bwana ww miziki yake mbona inapigwa sana!..lolSawa mkuu
Umesha confirm!!?May his soul rest in peace and let the eternal light shine upon him ooh Lord.
Mmh sijui kweli[emoji23][emoji23][emoji23]Mie had leo napenda mno miziki..!ah nimetoa chozi..unaweza kufuru kusema Mungu anakaupendeleo fulan..hvi mama wa mheshimiwa sana bado yupo mhimbili??
Hunijui vizuri wewe
Haijawahi niingiabwana ww miziki yake mbona inapigwa sana!..lol
Hukupanua vzr mkuu.Haijawahi niingia
Wewe ni mwanangu kabisa yaani. Nimemaliza chuo 2007. Piga mahesabu
Hata mimi siijui zaidi ya ule alikuwa anasema king zila ni balaa yaani ni hapo tubwana ww miziki yake mbona inapigwa sana!..lol
Hukupanua vzr mkuu.
Shkamoo babaWe mwanangu, nimemaliza chuo 2000 (Y2K). Piga hesabu.
13/1/2019 aisee hebu kuwa serious.habar ni za kweli..
ila mauti yamemkuta akiwa hospital ya Ligalo sa tisa usk wa leo ya tareh 13/01/2019
R.I.P
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi siijui zaidi ya ule alikuwa anasema king zila ni balaa yaani ni hapo tu
Sent using Jamii Forums mobile app