Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏Kifo ni mawaidha Tosha.Mawaidha ya kubadili mienendo yetu.Tuwahurumie wafiwa,kuwaombea marehemu na kubadili mienendo yetu kwa kufiwa na watu wetu wa karibu tuwapendao!
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏Maisha ya duniani ni mafupi sana.
Sema binadam tunahadaika na hii dunia kama vile tutaishi milele.
'Hakika kwake tumetoka na kwake tutarejea'.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya pole ndugu yangu kwa msiba.
Tupoe sote kwa kumpoteza mdau mkubwa katika mziki.
Ningekuwa muumba bora ningemtanguliza yule Dada mpenda kukaa uchi sijui poshy kwini au wema lkn sina namna kila mtu kwa wakati wake,pumzika mahala ulipojiandalia wakati wa uhai wako Godzilla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! alikuwa yupo vizuri kimuonekano.Ila hata mimi bado bado kidogo nafsi inakua nzito sana kukubali ukweli kama jamaa is no longer..!!
View attachment 1021057
Nilikuwa sielewi maumivu ya kifo hadi nilipoondokewa na mdogo wangu wa kike. Tulizaliwa wasichana wawili tu. Now nimebakia na kaka zangu tu. Tulikuwa tunapendana sana. Sina hata wa kusogoa naye na kuambiana siri kwa sasa. Maumivu ya kuondokewa na dada yangu wa pekee ni makali sana.Dah...i can feel u...pole mno aisee nawazaga kufiwa na mzaz jamani naamini nitachizika mazima mm..nina hofu mno hyo mm...navyompenda baba yangu jaman bora nianze mm tu...hakuna msiba mzito na mgumu kama kufiwa na pacha wako pia aisee!unajiona na ww huna thamani kbs.!argh!Pole sana best..rip mom
Halafu ilikuwa ni free style, namkumbuka sana mwanangu, nime enjoy sana freestlyes kipindi tupo high school, na kitaa pia...kuna kipind tupo shule kulikuwa na schoolbash wakashindana freestyle na chid benz chid akaishia kupanick daah so sad
Moja kati ya nyimbo zisizo chosha kusikiliza kutoka kwa Godzilla, apumzike kwa amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa sielewi maumivu ya kifo hadi nilipoondokewa na mdogo wangu wa kike. Tulizaliwa wasichana wawili tu. Now nimebakia na kaka zangu tu. Tulikuwa tunapendana sana. Sina hata wa kusogoa naye na kuambiana siri kwa sasa. Maumivu ya kuondokewa na dada yangu wa pekee ni makali sana.