naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,083
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka nikujibu ndiyo au hapana?
Unafaa sana kuwa mke wa mtu teh teh teeh! #WifeMaterial
Huyo nilimjua kipindi katekwa na bashiteNani kakwambia sema we sio mpenz wa hip hop tena bila shaka hata Moni central zone umjui
Mchape huyoHujaolewa ww ningekuwa mumeo ningekuchapa vibao...
Amuombe goodluck gozbert msamaha aendelee kumchorea ngoma kali kama ile iliyomtoaBaracka the prince ana kipaji cha kuimba ila kutunga hajui...alaf ana kiburi....Naj alimpiga chi jamaa, jamaa akakomaa wakarudiana tena kwa sharti la kubadili din....soon naj ataenda na pedeshee la mjin....
Mungu ameumba kusahau hutaamini baada ya muda utaona sawa. Wazazi wanapenda sisi watoto tuwazike wao. Kuzika mtoto kunauma Sana!!Dah...i can feel u...pole mno aisee nawazaga kufiwa na mzaz jamani naamini nitachizika mazima mm..nina hofu mno hyo mm...navyompenda baba yangu jaman bora nianze mm tu...hakuna msiba mzito na mgumu kama kufiwa na pacha wako pia aisee!unajiona na ww huna thamani kbs.!argh!Pole sana best..rip mom
Mungu ameumba kusahau hutaamini baada ya muda utaona sawa. Wazazi wanapenda sisi watoto tuwazike wao. Kuzika mtoto kunauma Sana!!
Jirani na kwa ccta wanguMzee wa salasala tena....nini chanzo....???
Jamaa kama wa ushuani Ana tema ung'eng'e kama alizaliwa America. I loved you RIP King Zilla