Tit 4 Tat
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 737
- 997
Kweli hata mm nlimuona akifreestyle na kutambulisha wimbo wake mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli hata mm nlimuona akifreestyle na kutambulisha wimbo wake mpya
heri yako wewe uliishi na mama miaka 8, mama yangu alifariki nikiwa na miaka minne tu, Sikupata upendo wake aisee, Rest in Peace Mama, Rest in peace Kanumba, Rest in Rest in Peace Kingzilla, Rest in Peace for everybody we lostWengine tuna miaka 22 na tumeishi na mama miaka 8 tu, hapo afadhali ya wewe.
Afu nauomba huo wimbo kama unaona maana nmeutafuta...lkn wp haupatikani pls ntumie.....km unao.... Unaitwa bando....Kweli binadamu tunatembea na magonjwa wiki iliyopita alikua anatambulisha wimbo pale mawingu... R.I.P zilla
Hapana hii haikuwa nyimbo yke mpya hii ilikuwa freestyle pale east Africa RadioKabla ya kifo chake Godzilla, ameacha nyimbo yake 1 ambayo bado haikukamilika
Tazama hapa vionjo vya nyimbo yake ya mwisho kabla ya umauti kumfikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine hawakuishi na mama kabisa, wengine hata picha ya mama haijui.heri yako wewe uliishi na mama miaka 8, mama yangu alifariki nikiwa na miaka minne tu, Sikupata upendo wake aisee, Rest in Peace Mama, Rest in peace Kanumba, Rest in Rest in Peace Kingzilla, Rest in Peace for everybody we lost
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wimbo mpya aliutbulisha clouds wiki iliyopita....unaitwa bandoUlikuwa mdogo sana umetuachia majonzi, umetuacha katika giza tulitamani kusikia huo wimbo wako. Pumzika kwa amani Golden Jacob Mbunda
Hapa inaoneshs alikua ana msongo wa mawazo
Jambo jema sana...Sina TV wala Radio
😀😀😀ngoja tucheke japo msibani ww jaribu kufa uone tutakavyokupamba
Ndo maana mi siwezagi kua na Mwanamke mmoja, ili akisepa na replace fasta. Hata Traffic akikukuta huna Spare Tyre ni msala.Sema kwa muda huo wote mnakuwa mmepigwa upofu. Hamuwezi kutambua mpk atakapokufa.
Ila jamaa nadhani stress za kuachwa na beibe wake ndio zilizompa matatizo zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwarabu mmoja aliniambia," nyinyi watu akili zenu zinaamka saa 5 asubuhi" yaani alichoandika na mautani [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]First to reply zinawaponza.
Mbona heading ipo so clear?
Siku ingine ukiamka fungua macho vizuri at least piga maswali akili ichangamke then shika simu.
Ulikurupuka. Hata kunitukana it won't affect me.
Mzee!! Too deepInnaa lillah wainnaa ilayhi raajiuun. Ni majonzi kiukweli, ni moja kati ya watu nilitokea kuwapenda kwa umahiri wao wa kucheza na lugha. Yafaa mauti kuwa mawaidha tosha.
_____________________________
Ilikuwa ni morning
Kucheki Jf nilipata mshtuko mkubwa moyoni, nikaskut nikasema pengine nipo ndotoni, nikavuta pumzi kiasi cha machozi kunitoka machoni
Kumcheki Millard Ayo
Ni kweli mwana amevuta na mwili upo Lugalo
Godzilla
Salasala homeboy hatunaye tena, majonzi yaliyonifika mpaka nashindwa kunena, Sina mengi ya kusema Mungu akulaze mahali pema
Ni wajibu kukiendea, na sote kinatungojea, R.I.P salasala hommie imani yetu huko unatungojea
_________"_________""______"_
Nina majonzi sana. Mungu akufanyie wepesi huko ulipo, kwani yeye ndiye anayehukumu na ni mwenye mwingi wa huruma kwa waja wake. Huruma yake kwa viumbe wake imezidi huruma ya mama kwa mtoto wake. Nasi tupo njiani, tutakufa tu.
Hahahah anza wewe Mi ntakuletea taarifa za sifa ulizopewa huko.[emoji3][emoji3][emoji3]ngoja tucheke japo msibani ww jaribu kufa uone tutakavyokupamba
Kuugua sio kufaNi ngumu siku Niko nje nasogoa nasikia mama angu akipiga ukunga ndani kukimbilia nilimkuta baba yupo kitandani amekata kauli , nilishindwa kula walla maji kupita kwa muda wa wiki nilifanya kulazimishwa lakini hali ya siku ile ni tofauti na hali ya sasa niliyonayo Mungu ni mwema hutupitisha kwenye wakati mgumu na anajua namna yakutupa subra na kutuondolea maumivu tofaut na Hapo dunia ingejaa vilio Kila kona vya wapendwa wao.