Msanii Hamornize ajichora tatoo ya Hayati Magufuli

Msanii Hamornize ajichora tatoo ya Hayati Magufuli

misimajumbasita

Senior Member
Joined
Jun 10, 2018
Posts
157
Reaction score
273
Kama kichwa cha habari kinavojieleza.

Msanii ambaye kwa sasa amekuwa akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofauti ameamua kuchora tatoo ya Hayati Rais Magufuli katika mwili wake.

Hii inaonyesha wazi Harmonize kaguswa sana na msiba wa JPM na kujaribu kumuenzi kwa stail hio ya tatoo.

Mnaweza kuona picha hiyo wadau.

IMG_8388.png
 
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza msaanii ambae kwa sasa amekua akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofuati tofuati mbali na mziki wake mkali
Sasa ameamua kuchora tatoo ya pcha ya hayati rais JPM katika mwili wake hii inaonyesha wazi hamo kuguswa sana na ule msiba na kujaribu kumuenze kwa stail hio ya tatoo
Mnaweza kuona picha hio wadauView attachment 1768825
Uyu jamaa hana akili
 
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza msaanii ambae kwa sasa amekua akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofuati tofuati mbali na mziki wake mkali
Sasa ameamua kuchora tatoo ya pcha ya hayati rais JPM katika mwili wake hii inaonyesha wazi hamo kuguswa sana na ule msiba na kujaribu kumuenze kwa stail hio ya tatoo
Mnaweza kuona picha hio wadauView attachment 1768825
Jamaa ameamua kufanya appreciation kwa kumchora kwenye mwili wake.
Rest In Peace JPM✊.
 
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza msaanii ambae kwa sasa amekua akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofuati tofuati mbali na mziki wake mkali
Sasa ameamua kuchora tatoo ya pcha ya hayati rais JPM katika mwili wake hii inaonyesha wazi hamo kuguswa sana na ule msiba na kujaribu kumuenze kwa stail hio ya tatoo
Mnaweza kuona picha hio wadauView attachment 1768825
Ni vizur
 
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza msaanii ambae kwa sasa amekua akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofuati tofuati mbali na mziki wake mkali
Sasa ameamua kuchora tatoo ya pcha ya hayati rais JPM katika mwili wake hii inaonyesha wazi hamo kuguswa sana na ule msiba na kujaribu kumuenze kwa stail hio ya tatoo
Mnaweza kuona picha hio wadauView attachment 1768825
Hakunaga kama Magufuli, wapende na wasipende kwa kizazi hiki haunanga kama Magufuli, yatosha tu kusema apumzike kwa amani kuna wengine wanajifanya wataishi milele wakati nao ipo siku wataondoka tu kama ilivyo ada kwa sisi binadamu lakini wataondoka kwa aibu.
 
Back
Top Bottom