Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
[emoji23][emoji23] ukizubaa tu kidogo unabambikiwaUpende huu ufike mpaka kwa wazazi wetu. Tusibambikane wababa fake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] ukizubaa tu kidogo unabambikiwaUpende huu ufike mpaka kwa wazazi wetu. Tusibambikane wababa fake.
Yeye anasema hana elimu lakini ana droo mamilionDada, ulikua na ushauri ama nasaha gani kwa huyu msanii anaemkosea Mola wake!!!
Azidi kuchapa kazi,Dada, ulikua na ushauri ama nasaha gani kwa huyu msanii anaemkosea Mola wake!!!
Na wasomi je?Ku droo mamilion sio sababu kwani wengine wanadroo nyasi? Wapo waliokuwa nazo lakini ziliwatawala na wameondoka wameziacha
Kwani uongo???Yeye anasema hana elimu lakini ana droo mamilion
Huyu boya hajui mziki ila anataka kuishi kwa Huruma ya Mashabiki tuKama kichwa cha habari kinavojieleza.
Msanii ambaye kwa sasa amekuwa akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofauti ameamua kuchora tatoo ya Hayati Rais Magufuli katika mwili wake.
Hii inaonyesha wazi Harmonize kaguswa sana na msiba wa JPM na kujaribu kumuenzi kwa stail hio ya tatoo.
Mnaweza kuona picha hiyo wadau.
View attachment 1768825
Sawa MrsKwani uongo???
Cheni yake moja sawa na bajeti ya msomi ya mwaka mzima
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu atafufuliwa na kile anacho kipendaKama kichwa cha habari kinavojieleza.
Msanii ambaye kwa sasa amekuwa akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofauti ameamua kuchora tatoo ya Hayati Rais Magufuli katika mwili wake.
Hii inaonyesha wazi Harmonize kaguswa sana na msiba wa JPM na kujaribu kumuenzi kwa stail hio ya tatoo.
Mnaweza kuona picha hiyo wadau.
View attachment 1768825
J
E
E
E
S
H
I
Wewe ushafanya vya haramu vingapi?Ndivyo alivyotuamrisha Mwenyezi Mungu kufanya hayo? Wewe ni muislamu wa aina gani!!! Huoni kuwa ayafanyayo ni haram? Au hujui hilo!!!
bora hata angechora ya mzazi wake lakini si kwa usujudu huo kwa mtu ambaye hausiki kbs ktk maisha yakoKama kichwa cha habari kinavojieleza.
Msanii ambaye kwa sasa amekuwa akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofauti ameamua kuchora tatoo ya Hayati Rais Magufuli katika mwili wake.
Hii inaonyesha wazi Harmonize kaguswa sana na msiba wa JPM na kujaribu kumuenzi kwa stail hio ya tatoo.
Mnaweza kuona picha hiyo wadau.
View attachment 1768825
Wewe ushafanya vya haramu vingapi?
Ungekua hushiriki haramu hata huyo msanii ungekua humjui ila kwa kua ukiweka earphone unasikiliza Attitude huku watu wakikutupia Asalaam aleykum tele unajiona kama umeyapatia maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
bora hata angechora ya mzazi wake lakini si kwa usujudu huo kwa mtu ambaye hausiki kbs ktk maisha yako
bora hata angechora ya mzazi wake lakini si kwa usujudu huo kwa mtu ambaye hausiki kbs ktk maisha yako