misimajumbasita
Senior Member
- Jun 10, 2018
- 157
- 273
Uyu jamaa hana akiliKama kichwa cha habari kinavo jieleza msaanii ambae kwa sasa amekua akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofuati tofuati mbali na mziki wake mkali
Sasa ameamua kuchora tatoo ya pcha ya hayati rais JPM katika mwili wake hii inaonyesha wazi hamo kuguswa sana na ule msiba na kujaribu kumuenze kwa stail hio ya tatoo
Mnaweza kuona picha hio wadauView attachment 1768825
Jamaa ameamua kufanya appreciation kwa kumchora kwenye mwili wake.Kama kichwa cha habari kinavo jieleza msaanii ambae kwa sasa amekua akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofuati tofuati mbali na mziki wake mkali
Sasa ameamua kuchora tatoo ya pcha ya hayati rais JPM katika mwili wake hii inaonyesha wazi hamo kuguswa sana na ule msiba na kujaribu kumuenze kwa stail hio ya tatoo
Mnaweza kuona picha hio wadauView attachment 1768825
Ni vizurKama kichwa cha habari kinavo jieleza msaanii ambae kwa sasa amekua akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofuati tofuati mbali na mziki wake mkali
Sasa ameamua kuchora tatoo ya pcha ya hayati rais JPM katika mwili wake hii inaonyesha wazi hamo kuguswa sana na ule msiba na kujaribu kumuenze kwa stail hio ya tatoo
Mnaweza kuona picha hio wadauView attachment 1768825
Hakunaga kama Magufuli, wapende na wasipende kwa kizazi hiki haunanga kama Magufuli, yatosha tu kusema apumzike kwa amani kuna wengine wanajifanya wataishi milele wakati nao ipo siku wataondoka tu kama ilivyo ada kwa sisi binadamu lakini wataondoka kwa aibu.Kama kichwa cha habari kinavo jieleza msaanii ambae kwa sasa amekua akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofuati tofuati mbali na mziki wake mkali
Sasa ameamua kuchora tatoo ya pcha ya hayati rais JPM katika mwili wake hii inaonyesha wazi hamo kuguswa sana na ule msiba na kujaribu kumuenze kwa stail hio ya tatoo
Mnaweza kuona picha hio wadauView attachment 1768825
Mapenzi [emoji3] hayo, shule nayo ni muhimu sana katika maisha yakawaidaUyu jamaa hana akili