Msanii Hamornize ajichora tatoo ya Hayati Magufuli

misimajumbasita

Senior Member
Joined
Jun 10, 2018
Posts
157
Reaction score
273
Kama kichwa cha habari kinavojieleza.

Msanii ambaye kwa sasa amekuwa akisumbua vichwa vya watanzania kwa habari tofauti ameamua kuchora tatoo ya Hayati Rais Magufuli katika mwili wake.

Hii inaonyesha wazi Harmonize kaguswa sana na msiba wa JPM na kujaribu kumuenzi kwa stail hio ya tatoo.

Mnaweza kuona picha hiyo wadau.

 
Uyu jamaa hana akili
 
Jamaa ameamua kufanya appreciation kwa kumchora kwenye mwili wake.
Rest In Peace JPM✊.
 
Ni vizur
 
Hakunaga kama Magufuli, wapende na wasipende kwa kizazi hiki haunanga kama Magufuli, yatosha tu kusema apumzike kwa amani kuna wengine wanajifanya wataishi milele wakati nao ipo siku wataondoka tu kama ilivyo ada kwa sisi binadamu lakini wataondoka kwa aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…