Mi naona bora wangezima na mitambo ya umeme kabisa, manake wala sioni umuhimu wa huo umeme wenyewe zaidi ya kutupatia maji baridi ambayo na yenyewe yana madhara kiafya!Wafunge kabisa forever, wala hatuna shida nayo!
Wakipenda watunyanganye na simu, isipotosha wazime na jua!
Wafunge hata miezi 6?! Simu hizi hizi zinazosababisha kuongezeka mimba mashuleni halafu unashauri zifungwe hata miezi 6?! Zifungwe tu moja kwa moja ili pesa tunazotumia kununua vocha tuzipeleke kwenye pembejeoWafunge hadi search engine ya Google ili akili za Watanzania zikae sawa.
Wafunge hata kupiga simu kwa miezi 6 tu kama hujasikia polepole akitoka mafichoni
[emoji818]KabisaWafunge hata miezi 6?! Simu hizi hizi zinazosababisha kuongezeka mimba mashuleni halafu unashauri zifungwe hata miezi 6?! Zifungwe tu moja kwa moja ili pesa tunazotumia kununua vocha tuzipeleke kwenye pembejeo
naunga mkonoMi naona bora wangezima na mitambo ya umeme kabisa, manake wala sioni umuhimu wa huo umeme wenyewe zaidi ya kutupatia maji baridi ambayo na yenyewe yana madhara kiafya!
Isitoshe wakizima umeme forever, itatufanya tuwe tunalala mapema na hatimae kufikisha zile saa 8 zinazotakiwa kitaalamu na kuchangia kuongezeka kwa life expecancy.
[emoji23][emoji23] Naunga mkono hojaWafunge hadi search engine ya Google ili akili za Watanzania zikae sawa.
Wafunge hata kupiga simu kwa miezi 6 tu kama hujasikia polepole akitoka mafichoni
Bado spanner imekaza. Hakuna Internet...... No VPN no internet serviceSocial media zote sasa waweza tumia bila vpn.
Aache uzwazwa,maumivu ndio kwanza yameanza,yeye aachie tu wimbo watasikiliza haohao waliompa kofiaMsanii maarufu ambaye alitikisa Katika kampeni za CCM akiwa na nyimbo kadhaa za kukinadi chama, ameomba internet kuachiwa ili aweze kuachia wimbo wake mpya.
Tulishaiweka CCM madarakani Sasa na muda wa kuisoma namba wote kwa pamoja.View attachment 1617960
Na bado
Haahahaaahaa.....Msanii maarufu ambaye alitikisa Katika kampeni za CCM akiwa na nyimbo kadhaa za kukinadi chama, ameomba internet kuachiwa ili aweze kuachia wimbo wake mpya.
Tulishaiweka CCM madarakani Sasa na muda wa kuisoma namba wote kwa pamoja.View attachment 1617960