Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Hizi zitabakia kuwa tetesi tu mkuu.Jidanganye Mkuu. Huwajui wale jamaa kwenye mambo ye pesa hawana mzaha.
Ambaye hajalipa ni Mavoko ndio maana mpaka YouTube channel kanyang'anywa.
Harmonize kaachiwa kila kitu unadhani ni BURE ?
Kulipa kalipa, whether katoa pesa yake au mtu mwingine
Anaimbaga nyimbo 🤔😂😂🤣Anaimbaga nini?sijawahi kumwelewa
Atuoneshe risiti tu, sikuhizi watanzania hatupendi janja janjaKwahiyo hela hizo ni propaganda hajawapa hicho kiasi?
Mkuu Mil 500 sio kitu cha mchezo,Sio masihara ione hivyo hivyo kwa kuiandika tu.Hakuna deni tena hapo kashawalipa hela zao WCB zote.
Hahaha Mimi pia nimetoka waelezaMkuu Mil 500 sio kitu cha mchezo,Sio masihara ione hivyo hivyo kwa kuiandika tu.
Aah wapi konde boy yupo njema mzee usimchukulia poa kabisa.Mkuu kuna confidence kwenye kujibu ikiwa deni lote limeisha unakuwa nayo.
Tone yake inaonesha kuna kiasi bado, au kuna makubaliano baina yao yanaendelea kwa chini chini.
WCB wapenda sifa ungewasikia tu kama hawajalipwa hiyo hela mwana kamaliza deni lote mbona.Atuoneshe risiti tu, sikuhizi watanzania hatupendi janja janja
Aah wapi konde boy yupo njema mzee usimchukulia poa kabisa.
Hizo 500M anazipata kwa video TATU tu YOUTUBE.Mkuu Mil 500 sio kitu cha mchezo,Sio masihara ione hivyo hivyo kwa kuiandika tu.
Harmonize mwenyewe ni mtu mmoja mpenda sifa mzuri sana kama angekuwa amemaliza deni kama unavyosema wewe angekuwa ameshaongea kitambo sana.WCB wapenda sifa ungewasikia tu kama hawajalipwa hiyo hela mwana kamaliza deni lote mbona.
Kama million 350 watu wametoa kwa siku 2 tu kwa mbowe [emoji23][emoji23][emoji23] hiyo 500 anakosaje mtu mmoja hv dimpoz hamuonagi zile kufuru zake unazani anashilingi ngapi maana kila siku yupo nje mara Manchester ndege anapanda first class watu wanahela nyie msiwachukulie poa.Mkuu Mil 500 sio kitu cha mchezo,Sio masihara ione hivyo hivyo kwa kuiandika tu.
Kabisa show inawatu wazito ndani humo.Sawa mkuu, all in all anafanya poa sana.
Binafsi nimeielewa hii show, money well spent.
Hizo 500M anazipata kwa video TATU tu YOUTUBE.
Acha kabisa kama maua sama alinunua gari ya millioni 80 kwanyimbo moja tu iokote sasa tunashangaa nn hizi millioni 500?Hizo 500M anazipata kwa video TATU tu YOUTUBE.
Ingekuwa pesa inapatikana kirahisi kihivo diamond asingekimbia pango la kodi la wasafi media HQ ambalo ni million 25 tu kwa mwaka na kwenda hifadhiwa jengo jingine la hisaniHizo 500M anazipata kwa video TATU tu YOUTUBE.