Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Kaharibu kutukana.... sasa nani mbwa hapo ukumbini... ujuaji ukizidi mwisho wake unaharibu...
Mimi huyo Shishi muda mwingine na mchukulie kama mtu aliye na tatizo la kiakili kidogo au dish kuyumba! Anapitiliza sana kujua kwenyewe hamna kitu....
Ana shida kichwani