joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
How? Alafu kesho mnaanza kumnanga "kafulia".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How? Alafu kesho mnaanza kumnanga "kafulia".
Ukiweka nyimbo za nyuma, watu watachukulia kama collection siyo album tena.Siyo powa, angeweka hata mbili za nyuma. Hasa hits.
Haaa nipo ila chama chako kimenipotezq kwenye ramani...[emoji23]
Unaangalia show...?
How?
Ila atakua amesaidia sana KUWAFARIJI watanzania kibao wasio na Uwezo wa kununua albamu yake.How? Alafu kesho mnaanza kumnanga "kafulia".
Ukiweka nyimbo za nyuma, watu watachukulia kama collection siyo album tena.
Haupo serious,hii ni biashara.Ila atakua amesaidia sana KUWAFARIJI watanzania kibao wasio na Uwezo wa kununua albamu yake.
Kwani nao pia Ni Binadamu,
wanahitaji Sana burudani kuzikonga nyoyo zao kuelekea uchumi wa Kati mnamo 2025.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siyo kila pesa unayoiona kubwa, ni kubwa sana kwa kila mtuWasanii wa Tanzania 99% ni vinga'ang'a a.k.a ving'asti. Nyumba gani hizo alizonazo huyu king'ang'a wa Sarah. Unazijua million 500 wewe?
Anasaidia Sana kuikuza lugha yetu adhimu ya KISWAHILI.How?
Shishi "......more more........" nimemwelewa sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni biashara.Anasaidia Sana kuikuza lugha yetu adhimu ya KISWAHILI.
Pia,
Anasaidia Sana harmonize kuongeza mashabiki wa Kaz zake.
Asilimia kubwa ya watanzania wanyonge watakua upande wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shishi "......more more........" nimemwelewa sana.😂😂😂😂😂
Mimi pia huo ni my fav.
The way Jaydee anaimba vizuri anaflow hadi raha.... Harmo kajitahidi
Biashara bila kutanguliza uzalendo kwa taifa lako, Huo Ni UHUJUMU UCHUMIHaupo serious,hii ni biashara.
wao pia hawazijui kama ambavyo Mimi na wewe hatuzijui pia.Sizijui.
Kaharibu kutukana.... sasa nani mbwa hapo ukumbini... ujuaji ukizidi mwisho wake unaharibu...
Kitendo cha kufanya kazi yake ya mziki tayari ni uzalendo tosha,kwani anafanya kazi analipa kodi na kaajili watu zaidi ya 10 kupitia mziki wake.Biashara bila kutanguliza uzalendo kwa taifa lako, Huo Ni UHUJUMU UCHUMI
Sent using Jamii Forums mobile app
Qchief yupo ila sijui kwa nini hajapanda.Kuna nyimbo kaimba kwa featuring na wasanii wengine ambao ni wabongo, eg Jide na Q Chillah.
Swali langu, kwa nini hawapo kuimba naye?