Takwimu rasmi zinapatikana National Bureau of Statistics. ( yani hata kwa akili ndogo ambayo haijawa brainwashed (Kama hata hiyo ndogo bado unayo) unaamini kwamba tz ina fire proof ya ugonjwa huu? Au unaamini katika sera za kufukuza ugonjwa kwa maombi? Au ndo hupo kwenye lile kundi la kiusifu na kuabudu. ? Kijana fungua macho na akili au Ndio mzugo umekolea.?Kwenu umeua wangapi
Duuu mwaka umeanza. Mtu wa kwanza maarufu kaondoka leo tarehe 17. Mungu amuweke mahali alipojichagulia.So sad!
Mungu amuweke mahali alipojichaguliaMungu amrehemu huko aendako.. Nimepokea taarifa hizi kwa mshtuko mkubwa
Magomeni ya wapi? Dar au Tanga?View attachment 1679503Tumempoteza kijana mwenzetu CPWAA, CRAZY POWER, Ilunga wa Park Lane. Hili ni pigo kubwa sana kwa familia yote ya wana Mbeya, IFM , Tanga, Dar es Salaam na dunia nzima kwa ujumla.
Msiba uko nyumbani kwao Magomeni
Mungu amrehemu ma
Huwa wanasingizia hivyo? Apumzike kwa amaniR.I.P
Hope hamtasingizia corona
Kwanini yeye unataka aje kutukana hapa, si unajua lile ni bapari la kizanaki[emoji846][emoji846]Muulize Gentamycin
Mzee wa dibala diblaKwanini yeye unataka aje kutukana hapa, si unajua lile ni bapari la kizanaki[emoji846][emoji846]
Mbele yake nyuma yetu.Tumepokea habari za tanzia mda huu tumepoteza kijana nguli kwenye mziki wa kizazi kipya cpwaa alivuma na vibao vyake vingi toka kundi lake pamoja na sumalee na mpaka wana gawanyika bado alitoa ngoma kali sana kama action sliyo shirikiana na dullsykes, marehemu ngwea R.I.P broo
vile vinanda hatari sana kmmmmmmmk, nyimbo yangu ya kwanza kwa PFunk PlayListuwa haikosi kwenye Majani Playlist zangu.
Mpuuzi weCpwaa ni nani?, jina lake kamili, anaishi wapi, ni mkongo au mbantu, amefia WAP, kwa ugonjwa gan, taarifa umezipata wapi n.k
Mbona kafa haraka haraka hivyo ? 😢😢😢