TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

Kwenu umeua wangapi
Takwimu rasmi zinapatikana National Bureau of Statistics. ( yani hata kwa akili ndogo ambayo haijawa brainwashed (Kama hata hiyo ndogo bado unayo) unaamini kwamba tz ina fire proof ya ugonjwa huu? Au unaamini katika sera za kufukuza ugonjwa kwa maombi? Au ndo hupo kwenye lile kundi la kiusifu na kuabudu. ? Kijana fungua macho na akili au Ndio mzugo umekolea.?
 
Duuu mwaka umeanza. Mtu wa kwanza maarufu kaondoka leo tarehe 17. Mungu amuweke mahali alipojichagulia.So sad!
 
Sad news!Mungu amuweke mahali alipojichagulia. Mwaka huoooo umefungua makucha yake. Nani atafuata ngoja tusubiri.
 
Tumepokea habari za tanzia mda huu tumepoteza kijana nguli kwenye mziki wa kizazi kipya cpwaa alivuma na vibao vyake vingi toka kundi lake pamoja na sumalee na mpaka wana gawanyika bado alitoa ngoma kali sana kama action sliyo shirikiana na dullsykes, marehemu ngwea R.I.P broo
Mbele yake nyuma yetu.
 
Back
Top Bottom