Will Billy
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 300
- 378
r. i. p
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa One ya 7 hata mimi naona kama alitupanga hivi.Kwa nini sasa? Point 7 ni mambo ya form 4 huko...halafu kitambo hicho watu waliokuwa wanataka kusoma IT kama cpwaa wengi walikuwa wanaenda IFM au vile vyuo vya wahindi kule posta (e.g Learn IT)... mlimani kulikuwa na uhaba wa walimu wa computer
Dizaini ndapu ndio niniKitaa migo watu wananyetisha mwamba alikuwa dizyn ndapu basi mkanganyiko
Wewe unadhani Galanos ni sokoni au stand?Galanos nayo shule?
Shut the fvck up wewe...
Unapoteza space tu humu
Wengi tu ninaowafahamuJibu swali, hapo kwenu malaria imeua nani?
Sasa mjomba unatakiwa uelewe utoauti wa miaka tunayozungumzia hapa point ni kipindi cha nyuma IFM walikua wanaenda wenye ufaulu duni hapo tunazunguzmia kipindi hicho cha huyu marehemu kusoma i.e pre TCU...Una feli sana tena sana! Kuduishe ni moja ya wasichana waliokua kwenye top ten yakitaifa tena kasoma Sayansi sikumbuki mwaka,lakini hakwenda kusoma Mhimbili akaenda zake Kairuki,acha kukariri brother!
Ungesema kuna baadhi ya kozi kweli lazima zifundishwe sehemu husika mfano Sheria, Engineering hizi kozi (UDSM) wako safi, Daktari (Mhimbili) wako poa! Product ya Sheria UDSM iko nondo kuzidi Products za Saut,Mzumbe,Tumaini na kwingine huko!!
Kwahiyo Madude yalimpasukia tumboni kama Ngwair? Sas mdogo wake mbona anasema NIMONIA?Kitaa migo watu wananyetisha mwamba alikuwa dizyn ndapu basi mkanganyiko
dohKitaa migo watu wananyetisha mwamba alikuwa dizyn ndapu basi mkanganyiko
Jibu swali, hapo kwenu malaria imeua nani?
Inanikumbusha mitungi ya kukesha mpk asubuhiOne for C Pwaa.
6 In The Morning.
Hahaha udsmNaona sasa john visomo mnavutana sasa.. mnanyumba ngapi ngapi asee na ma GPA yenu hapo UDSM.. [emoji3][emoji3][emoji3]
Wacha Mungu aitwe Mungu, ingekuwa rizki wanagawa wa A+ tu ingekuwa shida uzuri ni kwamba hawa matajiri wa kubwa katika hii mitandao wengi shule walikimbia na Mungu kawapa rizki kubwa waliokimbia shule na hata wale walifaulu shuleni. Unaweza usiwe vizuri shuleni lakini huku nje ukawa vizuri sana tu. Mimi ni wale sikufanya vizuri shule lakini nikapata rizki na wengine wako kina Diamond form one ila wako smart sio kuimba tu kibiashara.Galanos nayo shule?
Shut the fvck up wewe...
Unapoteza space tu humu
Alikuwa ana kigugumizi flani hivi,kama vile MTU asiyetaka maswali mengiKwahiyo Madude yalimpasukia tumboni kama Ngwair? Sas mdogo wake mbona anasema NIMONIA?
Nani kasema zero wapi nimeandika zero, sina sababu ya kujifariji lakini niko vizuri sio milionare lakini niko vizuri tu sasa kama waliacha kwa sababu waliona hakuna faida kwa hiyo wakatumia akili zao na vipaji sasa wewe mwenye uliyejaza A+ zote jitathmini maana hapa hapa Dar wenye pesa wengi hawana CV za kuomba kazi ndio wanaajiri watu. Na sijasema elimu haina faida ina faida sana tu lakini kuwa na A+ sio kwamba ndio utafanikiwa kimaisha. Acha hasira maisha hayaendi hivyo. Halafu unataka kufananisha A+ za USA na hizi za kwetu hapo umechemka ukienda na degree yako ya UDSM ndio utaona thamani yako.Acha kujifariji
Waliamua kuacha binafsi yao
Bill Gates alikua ni A+ Harvard student,kaacha makusudi
Mark Zuker alikua Hardvard student,kaacha makusudi
Jobs alikua student wa Stanford
etc etc
Unapojifananisha na hawa magenius unajifariji eti walipata zero unaonesha kiasi gani ulivyo mkichaa
These were super smart kids...kupata admission Harvard au Stanford ni straight As sio F kama unazotaka jifariji nazo
Usifananishe apples with oranges!