TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

TANZIA Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili

MKuu

Yeyote anaweza ongea chochote

Nikikwambia hapa nilipata let say 1.7 F4 utanimini sababu tu nimesema?

Kasema yeye,nipe proof kwenye matokeo website ya NECTA,nipe link!

Hata kama alipata 1.7,ina maana F6 alizembea akafeli ndio maana mwisho wa siku katokea IFM

Of which the nigga is inherently not smart,he was smart then by fluke!

Regardless who cares alipata what.
Huyu jamaa huwa ni mtata sana huyu!!!?
mbishi huyu.....
hapa amesahau kuweka neno moth..efucker!!
 
Ile biti aliligonga Lucci hadi wakenya wakaanza tamani kufanya naye kazi, sijui kwanini Lucci hakufika mbali katika utayarishaji maana kuna kipindi aliaminika kama king wa kutengeneza beat za crank.
RIP CP
Luciano Tsere mtoto wa Balozi Tsere alikuwa ametoka Marekani na alikuwa akisoma Tumaini Dar es Salaam course ya BBA ndiyo alinyonga biti ile pia ya Problem ya marehemu CP na ule wimbo wa mdogo wake na Profesa J anayeitwa Black Rhino unaitwa Black Chata . Hakuendelea kwa kuwa aliokoka na alipooa mission ikabadilika.
 
Acha kabisa mkuu, beat moja hivi ambayo Lucci aliisuka kwa umakini sana utafikiri za mbele za nyakati hizi...
Luciano akiwa ni mtoto wa Kigogo alikuwa ametoka US kipindi hicho na crank za akina Young John, Ciara zilikuwa top on chart. Kwa utundu wake alijifunza kuzisample akatuteka wapenda burudani.
 
May be you're right. Afterall, its a free world!!
We endelea kukazia the guy was not inherently smart. Mie hapa naendelea kucheza track zake.
dont know this guy from a hole in a wall... couldnt say nothin bout his brains...

He was a public figure, his life, death, background, foreground will all be disected to the teeth.
 
Haya maswali huwa mnafikiri kabla ya kuandika kweli?
Yaani we ovyo kabisa.
Ovyo mwenyewe asee... usiwe unadadindia kwa mbele kabla ya kuelewa maana ya muandishi , au kama hujaelewa unauliza..
 
Mnatakiwa mtafsiri neno
1)Akili au kuwa na akili
2)kilaza
na maneno mengine.

Ndio ligi iendelee. Watu wana definition zao kichwani ambazo sio sahihi halafu unajenga hoja. Kumbe mtu anaelewa tofauti.
 
dont know this guy from a hole in a wall... couldnt say nothin bout his brains...

He was a public figure, his life, death, background, foreground will all be disected to the teeth.
Poa tu mkuu. Acha watiririke!!
 
Poleni Sana Ndugu , Jamaa na Marafiki.

Cpwaa ametoa ngoma nyingi sana Problem,6 in da morning etc ila Naikubali Sana Pini alilopiga akiwa parklane - Semeni Ohoo.....Nilikuwa napita sehemu mida kama ya saa tano hivi nikasikia wanalipiga ilo pini nikashangaa sana nani redio gani inapiga mapini yaliyobang kitambo ,Da kumbe walikuwa wanamkumbuka.

Parklane - Semeni oh ndio pini nalolipenda sana ,mwenye nayo please wekeni hapa.
Masela semeni oooh!! Masela semeni oooooooh!!
 
Duh aise hpa ynyw nakamua
Sema speed imepungua sahv
Leo nlikuwa mitaa yenu upanga ule mtaa wa agakhan/takukuru kna ki bar fulani ndani ya flats fulani nlijicheba

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hiyo mitaa yangu sana kuanzia kwa Mkapa hapo mpaka California Dreamer tumetesa sana.Terry alikuwa anawapiga wahindi mpaka wakampiga marufuku kucheza kamali.

Wewe dawa yako tukutafutie mwanamke mmoja wa Kizaramo mwenye gubu sana, wivu 100%, maneno kama cherehani, akuletee figisu mpaka uanze kutulia nyumbani unaangalia documentaries za nature za National Geographic, mara paap, watoto wanne kwa msururu ndani ya miaka mitatu.

Hata gambe utapiga sitting room tu, tena kwa ratiba ya Jumamosi mpaka Jumamosi nyingine!
 
Back
Top Bottom