Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Mbele kwa mbele ,mitano Tena hatufi hatunyongi tuneipende wenyewe [emoji441][emoji441][emoji441][emoji445][emoji445][emoji445]Alikuwa anaimba muziki aina gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbele kwa mbele ,mitano Tena hatufi hatunyongi tuneipende wenyewe [emoji441][emoji441][emoji441][emoji445][emoji445][emoji445]Alikuwa anaimba muziki aina gani?
Huyo Jamaa msishindane nae Yuko dunia ya pekee yakeSafi Sana umeandika vizuri ..jamaa amendika upuuzi
Naona umepaniki IFM Alumnae...kamfufue basi umpe hizi habari
HahahahahaHiyo mitaa yangu sana kuanzia kwa Mkapa hapo mpaka California Dreamer tumetesa sana.Terry alikuwa anawapiga wahindi mpaka wakampiga marufuku kucheza kamali.
Wewe dawa yako tukutafutie mwanamke mmoja wa Kizaramo mwenye gubu sana, wivu 100%, maneno kama cherehani, akuletee figisu mpaka uanze kutulia nyumbani unaangalia documentaries za nature za National Geographic, mara paap, watoto wanne kwa msururu ndani ya miaka mitatu.
Hata gambe utapiga sitting room tu, tena kwa ratiba ya Jumamosi mpaka Jumamosi nyingine!
endelea kupiga ramliNaona umepaniki IFM Alumnae...
Kweli kabisamkuu samahani ila una akili mgando sana, unajua kuna watu wanachaguliwaga kwenda udsm au udom ila wanaenda vyuo vidogo ?
huenda jamaa alienda IFM kwa mapenzi
Nilirudi likizo kila ninapoenda mageti makubwa, wamejaa wahindi, waswahili wachache watoto hata hawatujui ma legend wenyewe wa kitaa.Hahahahaha
Hahahaha
Sisi wengine tushashindikana
Sema upanga yenu sahv wamebakia watoto ambao syo wajanja sjui naona waasia tu wanatamba
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Masela semeni oooh!! Masela semeni oooooooh!!
Hii ndio dawa huyu mwamba mrangi na tutakuwa tumemuokoa aseeHiyo mitaa yangu sana kuanzia kwa Mkapa hapo mpaka California Dreamer tumetesa sana.Terry alikuwa anawapiga wahindi mpaka wakampiga marufuku kucheza kamali.
Wewe dawa yako tukutafutie mwanamke mmoja wa Kizaramo mwenye gubu sana, wivu 100%, maneno kama cherehani, akuletee figisu mpaka uanze kutulia nyumbani unaangalia documentaries za nature za National Geographic, mara paap, watoto wanne kwa msururu ndani ya miaka mitatu.
Hata gambe utapiga sitting room tu, tena kwa ratiba ya Jumamosi mpaka Jumamosi nyingine!
😳😳😳 hatujakutana kweli hiyo mitaa.. siku za karibuni nimekuwa natokea sana kwenye hako ka bar chini hapo ...Duh aise hpa ynyw nakamua
Sema speed imepungua sahv
Leo nlikuwa mitaa yenu upanga ule mtaa wa agakhan/takukuru kna ki bar fulani ndani ya flats fulani nlijicheba
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ok so alipiga ICT na sio Engineering
Visomo hao 😀😀Hii ligi yenu naifatilia[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ndiyo homeboy
Wyatt Mathewson
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
mkuu mtu anaweza kusoma software engineering au hata computer engineering lakini nature ya kazi ikamfanya aitwe IT Engineer, IT na CS ni kozi za kisayansi lakini sio uhandisi ni kama ilivyo kwa architects hata ERB hawawatambui kama wahandisi. Pia nnachokifahamu kwa uhakika ni kwamba IFM hawatoi kozi yeyote ya uhandisi
Kuwa muhandisi sio lazima usome chuo cha uhandishi.. kuna series za cource ukimaliza izo unakuwa engineer.. kama walio enda huko vyuoni.. na hata ada ya hizo kozi huwa ni parefu sana.. yasikuchanganye hayo mavyuo na majina.. usihisi nagubu au na wivu na ma engineer by Pro mie ni Engineer pia ni mbobezi mifumo ya usalama wa mitandao.. na kuna mahala natambulika kama Security Engineer .. ninacho kueleza nakijua. Architecture wana bodi zao ambazo zipo very powerful kiasi kwamba hawana haja ya kuja kubanana humo ERBmkuu mtu anaweza kusoma software engineering au hata computer engineering lakini nature ya kazi ikamfanya aitwe IT Engineer, IT na CS ni kozi za kisayansi lakini sio uhandisi ni kama ilivyo kwa architects hata ERB hawawatambui kama wahandisi. Pia nnachokifahamu kwa uhakika ni kwamba IFM hawatoi kozi yeyote ya uhandisi
Mi bado niko pale pale hizo proffessional networking courses hata ufikie level ya CCNP bado hazimfanyi mtu kuwa engineer bali ni ile main course, mjadala ulikua mshkaji kujiita Eng wakati kasoma IT afu kaenda kupiga hizo course mi nilifikiria labda alivyoenda udsm akapiga jiwe la Eng ukiachana na hiyo IT. Mi sijasema ni mpaka usome chuo flani ndo uwe Eng, hata hivyo fani zote za uhandisi zinajulikana we kama ni mhandisi unafahamu hiliKuwa muhandisi sio lazima usome chuo cha uhandishi.. kuna series za cource ukimaliza izo unakuwa engineer.. kama walio enda huko vyuoni.. na hata ada ya hizo kozi huwa ni parefu sana.. yasikuchanganye hayo mavyuo na majina.. usihisi nagubu au na wivu na ma engineer by Pro mie ni Engineer pia ni mbobezi mifumo ya usalama wa mitandao.. na kuna mahala natambulika kama Security Engineer .. ninacho kueleza nakijua. Architecture wana bodi zao ambazo zipo very powerful kiasi kwamba hawana haja ya kuja kubanana humo ERB
Aaaah! Shida umeishakalili ndio hapo inapo anzia.. nikuulize kwanza Engineer ni nani au mtu aina gani ?Mi bado niko pale pale hizo proffessional networking courses hata ufikie level ya CCNP bado hazimfanyi mtu kuwa engineer bali ni ile main course, mjadala ulikua mshkaji kujiita Eng wakati kasoma IT afu kaenda kupiga hizo course mi nilifikiria labda alivyoenda udsm akapiga jiwe la Eng ukiachana na hiyo IT. Mi sijasema ni mpaka usome chuo flani ndo uwe Eng, hata hivyo fani zote za uhandisi zinajulikana we kama ni mhandisi unafahamu hili
Nini kina mfanya mtu kuwa Engineer ?Mi bado niko pale pale hizo proffessional networking courses hata ufikie level ya CCNP bado hazimfanyi mtu kuwa engineer bali ni ile main course, mjadala ulikua mshkaji kujiita Eng wakati kasoma IT afu kaenda kupiga hizo course mi nilifikiria labda alivyoenda udsm akapiga jiwe la Eng ukiachana na hiyo IT. Mi sijasema ni mpaka usome chuo flani ndo uwe Eng, hata hivyo fani zote za uhandisi zinajulikana we kama ni mhandisi unafahamu hili
Jack pemba,kibonde,bob fish,byatto dahNilirudi likizo kila ninapoenda mageti makubwa, wamejaa wahindi, waswahili wachache watoto hata hawatujui ma legend wenyewe wa kitaa.
Yani mtaa nilio chill na Justin Kalikawe na Galinoma leo nikienda naonekana mgeni!
Bora nibaki New York City tu.
main course uliyoisoma undergraduate iwe ni Engineering.Nini kina mfanya mtu kuwa Engineer ?
Unafahamu origin na neno Engineer ?main course uliyoisoma undergraduate iwe ni Engineering.