Msanii Jaiva wanawake wanampendea nini?

Unamuonea mwanaume mwenzio wivu?
 
Usijaribu kutuelewa..utajichosha tu. Sisi wenyewe hatujielewi..yes read that again!!!

*Unakuta mtu kakutana na comment mtandaon, anakua tu interested na namna ile comment imeandikwa..IMO
*Unakuta mwanaume anasifika kwa umalaya, lakin kuna namba inatamn kuonja yaliyomo yakoje, anatongoza yeye hata hotel yuko radh kulipia yeye..IMO
*Mume ana kila kitu, lakin kile alichokosa kimoja tu, ndicho bint ndakisusu anaenda kukitafuta nje..IMO
*Mwanaume anakuwa mpole, muaminifu hana makuu, ana samehe kila mara. Lakin kuna njemba anakuwa attracted nayo kisa anampiga makofi na kumkiss baada ya makofi..IMO

Sometimes nafsi inaniambia stand on your guard always. Usijiamini sana. Biblia tu imesema ajidhaniaye amesimama aangalie sana asije akaanguka.

Mwanamke hana dictionary inshort..kila siku kuna definition mpya!!!
 
Aweeee..
Igama la minguu JAIVAH weee

Huyo mtoto kaniona wakati nmependeza,
Kaona dorime ya mitungi juu ya meza,
Ananiangalia huku macho analegeza,
Nami nampimia akijitusu natembeza (×2)

Nikamwambia hapa mitungi BURUDA,
Washa hata kitu BURUDA,
Na kama sio kesi, kama uko fresh hapa hata mikasi BURUDA (×2)

Akaniuliza nani jina laaakooo
IGAMA LA MINGUU JAIVAH
IGAMA LA MINGUU COACH
IGAMA LA MINGUU STRIKER

Akaniuliza ubani kama laaakoo
IGAMA LA MINGUU JAIVAH
IGAMA LA MINGUU COACH
IGAMA LA MINGUU STRIKER

Si mtoto alivyoona vyenye nimepoaaa
Ye akanichukulia poaaa
Na mwanenu nnavyojua kukomoaa
Nakuwaga kama natafuta ndoaaa

Nauliza niendelee, niache..
(Kwa nini uache, kama umelianzishaa twende mpaka asubuhi) (×2)

Alooo..
Limenibanaa kojo kojo kojo.. kojo kojo kojo
Nimelewa sioni mbele, sioni nyuma, sioni juu, sioni chini tundu liko waapii.. la choo

Kama nawakwazaa semeniii..
 
Ni hovyo sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…