Aweeee..
Igama la minguu JAIVAH weee
Huyo mtoto kaniona wakati nmependeza,
Kaona dorime ya mitungi juu ya meza,
Ananiangalia huku macho analegeza,
Nami nampimia akijitusu natembeza (×2)
Nikamwambia hapa mitungi BURUDA,
Washa hata kitu BURUDA,
Na kama sio kesi, kama uko fresh hapa hata mikasi BURUDA (×2)
Akaniuliza nani jina laaakooo
IGAMA LA MINGUU JAIVAH
IGAMA LA MINGUU COACH
IGAMA LA MINGUU STRIKER
Akaniuliza ubani kama laaakoo
IGAMA LA MINGUU JAIVAH
IGAMA LA MINGUU COACH
IGAMA LA MINGUU STRIKER
Si mtoto alivyoona vyenye nimepoaaa
Ye akanichukulia poaaa
Na mwanenu nnavyojua kukomoaa
Nakuwaga kama natafuta ndoaaa
Nauliza niendelee, niache..
(Kwa nini uache, kama umelianzishaa twende mpaka asubuhi) (×2)
Alooo..
Limenibanaa kojo kojo kojo.. kojo kojo kojo
Nimelewa sioni mbele, sioni nyuma, sioni juu, sioni chini tundu liko waapii.. la choo
Kama nawakwazaa semeniii..