Msanii Jaiva wanawake wanampendea nini?

Msanii Jaiva wanawake wanampendea nini?

Ila binadamu wote tumeumbwa na wivu, chuki na husda
Ooooooo ilooooo safi sana kakukomesha 😂😂😂😂
Hahaha. Ila binadamu wote tumeumbwa na wivu, chuki na husda. Lakini hivi vyote unaweza kuviepuka kwa kupuuza, kujikaza na kuumia ndani kwa ndani kimyakimya. Mimi siku hizi sikubali kirahisi kumpenda dem kwa dhati. Unakuta dem mkali analiwa na njemba wa hovyo tena bure unabaki kushangaa wtf!
 
Ila binadamu wote tumeumbwa na wivu, chuki na husda

Hahaha. Ila binadamu wote tumeumbwa na wivu, chuki na husda. Lakini hivi vyote unaweza kuviepuka kwa kupuuza, kujikaza na kuumia ndani kwa ndani kimyakimya. Mimi siku hizi sikubali kirahisi kumpenda dem kwa dhati. Unakuta dem mkali analiwa na njemba wa hovyo tena bure unabaki kushangaa wtf!
We ulitaka aliwe na nani?? 😂😂😂😂
 
Ni namna walivyo m-brand tu kuwa anapendwa na wanawake, imesemwa sana mpaka imeonekana kama kweli.

Na ilivyo akili ya wanawake baadhi wanachukuliwa sana na upepo.

Kwasababu sidhani kama ana wimbo wowote wa maana wakumfanya hata mtu umsikilize mara mbili mbili. Binafsi naujua tu ule sijui nini nini buruda.
Nilitamani jamii forum kwenye kureact waongeze option ya kucheka
 
Huyu Msanii wanawake wanampendea nini? Naangalia hapa TV-E wanavyo mshangilia yani ukiacha sauti nzito sioni cha ajabu kutoka kwake lakini naona ndio msanii ambaye wanamshangilia sana!

Sitoshangaa huyu msanii akiwa anawapata wanawake kisa ana sauti nzito! Au pengine mimi sioni wengine wanacgo kiona? Kweli maisha ni bahati tuuu! Yani hapa ndio utashangaa kuhusu wanawake….
Hao wanawake wana shangilia tuu, wenyewe uki wauliza wana shangilia nini hawajui hata wana shangilia nini.
 
Back
Top Bottom