Msanii Jaiva wanawake wanampendea nini?

Msanii Jaiva wanawake wanampendea nini?

Hio nijinsi walivyo M-Brand tu na ile hali ya Tanzania kutrendisha kitu na kukifanya kiwe kwenye Trend kwa namna fulani sasa Jaiva kabahatika kwa njia hio ila sio just serious kwamba hao wanawake wanampenda huyo Jaiva au sauti from inside tatizo ni wewe kuchukulia serious hili suala au kuwa na uwelewa mdogo wa ku-digest mambo.

Kifupi unakuwa manipulated kilahisi sana
 
Kuna demu hivi nilikua nae akawa ana dai ana mkubali jmelod, nikaachana nae Hadi leo
 
Back
Top Bottom