Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,578
[emoji16][emoji16][emoji16]tutaanza kushindana kuunguruma kama simbaHahahahaha ila wanawake bhana yani muda wowote wanabadilika sasa tutaanza kujikita kwenye sauti nzito…haha[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]tutaanza kushindana kuunguruma kama simbaHahahahaha ila wanawake bhana yani muda wowote wanabadilika sasa tutaanza kujikita kwenye sauti nzito…haha[emoji23][emoji23]
Mwanaume bado ni na marketable akiachika ila kwa mwanamke kama umri kidogo ushazogea ni issue ku pata kuwa nae kweny serious relationshipKuachwa nako ni kesi mbona sikuhizi wanaume ndiyo waachwa zaidi mkuu
Wanaume Wapo wengi tu shida labda yule umtakaeMwanaume bado ni na marketable akiachika ila kwa mwanamke kama umri kidogo ushazogea ni issue ku pata kuwa nae kweny serious relationship
Ndo Ivo unajikuta unapata wa kufanana nawe cz kama hujatulia Mungu hukuletea wa kukufanania baada ya muda mna apartWanaume Wapo wengi tu shida labda yule umtakae
Yeah sureNdo Ivo unajikuta unapata wa kufanana nawe cz kama hujatulia Mungu hukuletea wa kukufanania baada ya muda mna apart
Kuna haja maombi na kufunga kwingi kuomba upate japo mwenye ile hofu ya MunguYeah sure
Wapalestina mna shida sana.Wanawake ni viumbe wa ajabu sana. Kuna kamoja kaliniambiaga kanampenda ssna keanu Reeves wa john wick. Nikakatema na hadi imenifanya namchukia huyu jamaa wa matrix. Lina sura mbaya.
Na ukipata mtu anakupenda kweli afu huna hisia nae kimwili na Hana hela unafanyaje? Uendelee kumwomba Mungu?Kuna haja maombi na kufunga kwingi kuomba upate japo mwenye ile hofu ya Mungu
Huwa mtu Alie sahihi kwako Mungu hamleti ukamkubali....chunguza tu utajajua hili kuwa Kuna sehem watu mnapishana na gari la mshahara....Na ukipata mtu anakupenda kweli afu huna hisia nae kimwili na Hana hela unafanyaje? Uendelee kumwomba Mungu?
Kuna muda natamani kufanya maamuzi ila naogopa kufa maskini na kuwalea wanangu kwa shida sababu ya maamuzi yangu mabayaHuwa mtu Alie sahihi kwako Mungu hamleti ukamkubali....chunguza tu utajajua hili kuwa Kuna sehem watu mnapishana na gari la mshahara....
Ndy maana nikasema bila kumtanguliza Mungu...huwez kufanya maamuzi....bdo una hofu imekutawala....Mungu hukupa unachostahili na sio unachotakaKuna muda natamani kufanya maamuzi ila naogopa kufa maskini na kuwalea wanangu kwa shida sababu ya maamuzi yangu mabaya
Hakika mkuuNdy maana nikasema bila kumtanguliza Mungu...huwez kufanya maamuzi....bdo una hofu imekutawala....Mungu hukupa unachostahili na sio unachotaka
Hahaha weweeeWapalestina mna shida sana.