Msanii Jaiva wanawake wanampendea nini?

Msanii Jaiva wanawake wanampendea nini?

Sishangai kuna kamanzi kalishawai nipenda kisa kamevutiwa na begi...[emoji16][emoji16]
 
Kuna demu hivi nilikua nae akawa ana dai ana mkubali jmelod, nikaachana nae Hadi leo
[emoji16][emoji16]

Usichukulie serious haya mambo. Mm ni mwanaume lkn kwa wasanii namkubali Jux. Kuanzia muziki, personal life style, husttle.

We all have our favourite, japo kwa ke wanaweza kua na hisia zaidi mpaka ukahisi unapoteza jimbo
 
[emoji16][emoji16]

Usichukulie serious haya mambo. Mm ni mwanaume lkn kwa wasanii namkubali Jux. Kuanzia muziki, personal life style, husttle.

We all have our favourite, japo kwa ke wanaweza kua na hisia zaidi mpaka ukahisi unapoteza jimbo
Miye wangu anamkubali Whozu,
Nilipouza kiss,nikajibiw kuwa anachekesha na ni "chale"

Aahaaa

Siku hizi anamkubali Kontawa,na nyimbo zote anaziimba mstari kwa mstari

Nitafanyaje Sasa

Ila binafsi namkubali sana Jaivah,hasa like besi lake

Wanabailojia Wanasema the deeper the voice stronger the make is both psychologically and physiologically

Hana Cha maana anachoimba Jaivah,ni lile besi tu

Kuna demu aliniambia akisikia besi la Jaivah analoa

Aaahaa
 
Huyu Msanii wanawake wanampendea nini? Naangalia hapa TV-E wanavyo mshangilia yani ukiacha sauti nzito sioni cha ajabu kutoka kwake lakini naona ndio msanii ambaye wanamshangilia sana!

Sitoshangaa huyu msanii akiwa anawapata wanawake kisa ana sauti nzito! Au pengine mimi sioni wengine wanacgo kiona? Kweli maisha ni bahati tuuu! Yani hapa ndio utashangaa kuhusu wanawake….
View attachment 2923373View attachment 2923374View attachment 2923377View attachment 2923378View attachment 2923380
Sisi tunapenda kiuno cha tyla
 
Aweeee..
Igama la minguu JAIVAH weee

Huyo mtoto kaniona wakati nmependeza,
Kaona dorime ya mitungi juu ya meza,
Ananiangalia huku macho analegeza,
Nami nampimia akijitusu natembeza (×2)

Nikamwambia hapa mitungi BURUDA,
Washa hata kitu BURUDA,
Na kama sio kesi, kama uko fresh hapa hata mikasi BURUDA (×2)

Akaniuliza nani jina laaakooo
IGAMA LA MINGUU JAIVAH
IGAMA LA MINGUU COACH
IGAMA LA MINGUU STRIKER

Akaniuliza ubani kama laaakoo
IGAMA LA MINGUU JAIVAH
IGAMA LA MINGUU COACH
IGAMA LA MINGUU STRIKER

Si mtoto alivyoona vyenye nimepoaaa
Ye akanichukulia poaaa
Na mwanenu nnavyojua kukomoaa
Nakuwaga kama natafuta ndoaaa

Nauliza niendelee, niache..
(Kwa nini uache, kama umelianzishaa twende mpaka asubuhi) (×2)

Alooo..
Limenibanaa kojo kojo kojo.. kojo kojo kojo
Nimelewa sioni mbele, sioni nyuma, sioni juu, sioni chini tundu liko waapii.. la choo

Kama nawakwazaa semeniii..
Kama huna bezi huwezi soma hii..😂😂😂
 
Ni namna walivyo m-brand tu “kuwa anapendwa na wanawake”, imesemwa sana mpaka imeonekana kama kweli.

Na ilivyo akili ya wanawake baadhi wanachukuliwa sana na upepo.

Kwasababu sidhani kama ana wimbo wowote wa maana wakumfanya hata mtu umsikilize mara mbili mbili. Binafsi naujua tu ule sijui nini nini buruda.
Well said
 
Mh ni yupi mmesema sauti haya ebu tupeni hiyo sauti hapa niiskilize
 
Wanawake ni viumbe wa ajabu sana. Kuna kamoja kaliniambiaga kanampenda ssna keanu Reeves wa john wick. Nikakatema na hadi imenifanya namchukia huyu jamaa wa matrix. Lina sura mbaya.
Mkuu sababu ilikuwa nini keanu yuko mbali hukoo!!!!!

Mimi kuna dada alisema maneno hayo kwa kavulana ka miaka 14 mtaani,nikamtania(msivyo na akili kuna siku utampa huyu dogo ajaribu)

Akawa anacheka cheka tu.
 
Wala hawampendei sauti, wanachopenda ni multiple choice huyo jamaa anapita kwa Bibi nyau au kwa mpalange basi wadada wanachagua wanachopenda.
 
Ninapo pigaga gitaa langu la solo pia huwa nashangiliwa na vibinti viimba kwaya na mama zao piaa...mambo ya kawaida sana hayo.
 
Ni namna walivyo m-brand tu “kuwa anapendwa na wanawake”, imesemwa sana mpaka imeonekana kama kweli.

Na ilivyo akili ya wanawake baadhi wanachukuliwa sana na upepo.

Kwasababu sidhani kama ana wimbo wowote wa maana wakumfanya hata mtu umsikilize mara mbili mbili. Binafsi naujua tu ule sijui nini nini buruda.
Sijui nini nini burudani...
Hii kali.
 
Jamaa sasa atatumia hiyo sauti yake nzito kula mademu za watu kinoma noma
 
Wanaume tulipenda wanawake weupe weupe wakajichubua, tukapemda viportable wakaanza diet kupunguza unene, tukapenda misambwanda wakaanza dawa na upasuaji kuongeza nyenye ..Sasa kikao kijacho tukubaliane tuanze kupenda wanawake wenye MAKOMWE...tuone watafanyaje Hawa viumbe....wasituchnanganye tuwachanganye na sisi.
 
Back
Top Bottom