Mr Makunduchi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 995
- 492
Kaka me nakwambia hana dili mtaani siku hiz amefuliaaaaSaju b ahahaha kwa hyo kajitabiria.
cephalocaudo hata wewe nenda tu, nafasi iko wazi
mwenda wazimu hawachelewi kuexpiry matokeo yake wanaolewa na ambao hawakuwatarajia na hawaridhk nao.
Haaaaaaaa haaaaaaaa ni kweliNdo wadada wajifunze! Akijipiga uso wa makeup akapita mtaani miluzi mia kidogo anapigiwa anahisi yeye ni mzuri wa level nyingine full kulinga na kubagua wanaume. Kukicha kukachwa anaitafuta miluzi haipatikani, aliowalingia nao wanamlingia
Hapo ndo utasikia kauli za kujikatia tamaa eti KUOLEWA SIO LAZIMA
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeyote ??????????????
mmmmmmmmh
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Bas siku hiz Wadada walio kuwa wanaringa mtaani afu hawajaolewa wanajifanya wanapiga jimu na washikaj ktaani haaaaaaaaNdo wadada wajifunze! Akijipiga uso wa makeup akapita mtaani miluzi mia kidogo anapigiwa anahisi yeye ni mzuri wa level nyingine full kulinga na kubagua wanaume. Kukicha kukachwa anaitafuta miluzi haipatikani, aliowalingia nao wanamlingia
Hapo ndo utasikia kauli za kujikatia tamaa eti KUOLEWA SIO LAZIMA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka usichukue hata bureeeeUmri wangu bado mkuu, kupalamia hayo mambo. Ndio kwanza npo kwenye 20s wakati huyo mama atakuwa anaelekea kwenye 40
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
hapo nitakuwa natafuta financial security sio mapenziMkuu Joseverest mhenga mwenzako huyu anakufaa
Mondray usije mfunua na kumfunika dada wa watu mana kivyovyote hakuna sharti la no sx b4 marriage
cephalocaudo syo mbaya, atakulea
Ajiandae kuwa baa medNa ahapo ndipo unapogundua tofauti ya mwanaume na mwanamke dada zetu mnaojifanyaga kusema wanaume wa nini,itafika mtawaitaji na amto waona ngoo...
Ray c naye bado hajatujuza?Daah aisee kweli ujana maji ya moto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseeKwani pale chini panasoma kilometa ngapi?
tuanzie hapo.
Akihojiwa na EATV msanii mkongwe aling'ara kwenye maigizo ya Kaole 'BLANDINA CHAGULA' maarufu kama Johari ameeleza kuwa, anatafuta mume ambaye ana malengo na ambaye yupo tayari kumwoa.
Msanii huyo aliyejizolea umaarufu katika movie yake ya 'JOHARI PT. 1&2' enzi zake alikuwa anagombewa na vigogo mbalimbali wenye pesa na waigzaj wenzake ikiwemo ray na marehemu kanumba ambao mara kadhaa walipigana vikumbo kumgombea.
Lakini wahenga wanasema, ujana na nguvu ni vitu vya 'kwisha'..
Yeyote aliye tayari kumwoa johari basi amtafute maana masharti yamepunguzwa kwa 95%
Hili ni funzo kwa dada zetu wanaoringia uzuri, ujana na umaarufu wao, waache kuutumia vibaya kuepuka kadhia hapo baadaye.