Msanii Johari anatafuta mume yeyote aliye tayari

Msanii Johari anatafuta mume yeyote aliye tayari

Ndo wadada wajifunze! Akijipiga uso wa makeup akapita mtaani miluzi mia kidogo anapigiwa anahisi yeye ni mzuri wa level nyingine full kulinga na kubagua wanaume. Kukicha kukachwa anaitafuta miluzi haipatikani, aliowalingia nao wanamlingia

Hapo ndo utasikia kauli za kujikatia tamaa eti KUOLEWA SIO LAZIMA

Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaaaaaa haaaaaaaa ni kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeyote ??????????????

mmmmmmmmh

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app

Pamoja na kuwa 'tayari'. Sasa issue ni kuwa 'tayari' na mambo yaliyopo huko ndani ya hiyo ndoa tarajiwa.
 
Ndo wadada wajifunze! Akijipiga uso wa makeup akapita mtaani miluzi mia kidogo anapigiwa anahisi yeye ni mzuri wa level nyingine full kulinga na kubagua wanaume. Kukicha kukachwa anaitafuta miluzi haipatikani, aliowalingia nao wanamlingia

Hapo ndo utasikia kauli za kujikatia tamaa eti KUOLEWA SIO LAZIMA

Sent using Jamii Forums mobile app
Bas siku hiz Wadada walio kuwa wanaringa mtaani afu hawajaolewa wanajifanya wanapiga jimu na washikaj ktaani haaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
67c83bd401a5ae8f078b15da1311e55f.jpg

Akaunti yake instar sijui niende inbobo tatizo nna miaka ka 20 cna pesa syo supastaa yaan mm ni kapuku kwishaaa ila namtakaaa nifanyeje nko mkoani.
 
Jamii inamtazamo potofu sana.

Ukisoma jumbe za wachangiaji utagundua.

Kwani mwanamke akitafuta mume na kusema wazi tu ndiyo inamaanisha hakuna wanaomtaka kwa privacy?

Au thamani inashuka?

Kwa vigezo vya mitazamo yako right?

But what if she doesn't care?

Because wicked people and bad mind will talk no matter what you do.

Mazee tunawakandamiza sana wanawake.

Kifupi mwanamke ni mtu wadaraja la chini sana.

Kwenye lolote atakalo jaribu kuchagua/kufanya na maisha yake lazima jamii imuongelee kwa kumkandamiza.

Chunguza kitaani kwako utaona waziwazi.

Lakini no matter what patriarchal says women have always been strong.

Hata mtu kuongea tu kwa uwazi ndiyo ameshuka dhamani?

Revolution will rise from within.

Kwenye hii dunia ambayo unaweza kuwa kitu chochote chagua kuwa kind.

Our purpose in this world is to help others if we can't help them at least don't hurm them.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akihojiwa na EATV msanii mkongwe aling'ara kwenye maigizo ya Kaole 'BLANDINA CHAGULA' maarufu kama Johari ameeleza kuwa, anatafuta mume ambaye ana malengo na ambaye yupo tayari kumwoa.

Msanii huyo aliyejizolea umaarufu katika movie yake ya 'JOHARI PT. 1&2' enzi zake alikuwa anagombewa na vigogo mbalimbali wenye pesa na waigzaj wenzake ikiwemo ray na marehemu kanumba ambao mara kadhaa walipigana vikumbo kumgombea.

Lakini wahenga wanasema, ujana na nguvu ni vitu vya 'kwisha'..

Yeyote aliye tayari kumwoa johari basi amtafute maana masharti yamepunguzwa kwa 95%

Hili ni funzo kwa dada zetu wanaoringia uzuri, ujana na umaarufu wao, waache kuutumia vibaya kuepuka kadhia hapo baadaye.

Hahahahahaaa., duh hapo sasa kuna masharti gani yaliyobakia.
Mimi nasubiria yule wa mahari milion 10 naye ashushe masharti kwa 95% then nijitose. Najua atashusha tuu maana kwa sasa anatumika kupitiliza.
 
Back
Top Bottom