Msanii Johari anatafuta mume yeyote aliye tayari

angekuwa NORA ningejitosa

Words of wisdom!!!

Madem ni kama mahindi choma,
Una toa lines zako mbili upatie mwingine.
atakayebaki na gunzi shauri yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu uzi bora nimeukuta asbuh hii nikijiandaa na 8/8

May Allah bless Me and You
 

Akaunti yake instar sijui niende inbobo tatizo nna miaka ka 20 cna pesa syo supastaa yaan mm ni kapuku kwishaaa ila namtakaaa nifanyeje nko mkoani.
Hajaweka vigezo,
Anataka mtu atakayempenda TU

May Allah bless Me and You
 
mwe mwe mweee, nani aoe bibi, wakati watoto wakali ndio wanakuja kwa kasi, Zamu ya Wema, Joketi na wenzake kuwa kama hawa yaja, Wolper tayari kashaanza kudandia treni kwa mbele
Wema ni "Mtoto Mkali"?
Hata "Jokate sio MTOTO MKALI"


May Allah bless Me and You
 
Ukumbuke mabint nao wanaanza michezo wakiwa wadogo sana,yupo la 5 au la 6 ana kabwana au bwana kabisa.Uzoefu wangu haya mambo hayana formula

May Allah bless Me and You
 
Hivi kweli ' Mbunye ' yake ya miaka ile ya mwanzoni ya 2000 itakuwa bado na ' utamu ' ule ule kwa sasa mwaka 2017?
Jamani jamani msimdhalilishe huyo dada kiasi hiki.Not at that extent

May Allah bless Me and You
 
Wapunguze mashauzi na kuchaguachagua kwiiingiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…