lovely love
JF-Expert Member
- Dec 11, 2013
- 337
- 296
[emoji169]Jamii inamtazamo potofu sana.
Ukisoma jumbe za wachangiaji utagundua.
Kwani mwanamke akitafuta mume na kusema wazi tu ndiyo inamaanisha hakuna wanaomtaka kwa privacy?
Au thamani inashuka?
Kwa vigezo vya mitazamo yako right?
But what if she doesn't care?
Because wicked people and bad mind will talk no matter what you do.
Mazee tunawakandamiza sana wanawake.
Kifupi mwanamke ni mtu wadaraja la chini sana.
Kwenye lolote atakalo jaribu kuchagua/kufanya na maisha yake lazima jamii imuongelee kwa kumkandamiza.
Chunguza kitaani kwako utaona waziwazi.
Lakini no matter what patriarchal says women have always been strong.
Hata mtu kuongea tu kwa uwazi ndiyo ameshuka dhamani?
Revolution will rise from within.
Kwenye hii dunia ambayo unaweza kuwa kitu chochote chagua kuwa kind.
Our purpose in this world is to help others if we can't help them at least don't hurm them.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app