Msanii Jotta aliyebadili jinsia alijizolea umaarufu kwa kuimba nyimbo za injili

Msanii Jotta aliyebadili jinsia alijizolea umaarufu kwa kuimba nyimbo za injili

Wakristo munajambo lenu kwenye ushoga, haki ya mama.
Juzi tu huko marekani kuna muinjilisti gani sijui kapewa uchungaji ilhali ni shoga, leo tena muimba kwaya! aagh acheni hizo bhana.
Aahh wewe weee kuna ile story hujaimaliziaga ujue. Umerudi sasa fanya basi kumalizia ile stori ya yule ndege.
 
C2BE26B1-8EC7-4C12-9E9A-90992320D2C8.jpeg

Huyu
 
Wakristo munajambo lenu kwenye ushoga, haki ya mama.
Juzi tu huko marekani kuna muinjilisti gani sijui kapewa uchungaji ilhali ni shoga, leo tena muimba kwaya! aagh acheni hizo bhana.
Kitoabu, tunangoja kwa hamu sana utupe stori za vimbwanga vya huko migodini. Hakika tulienjoy sana na stori za habari ya yale masaibu mliyokutana nayo huko migodini
 
Kalishakuwa kadem toka kakiwa katoto kamefanya kumalizia tu.shetan on work
 
Sema nimegundua hapa duniani huenda kuna miungu zaidi ya mmoja
Basu wewe inaonekana haujawahi kusoma msahafu wa dini yoyote ile. Sababu ndani ya misahafu kila mmija una mungu wake na mingine inakatazwa kuabudu miungu wengine
 
Ninachowapendea waislam wangekemea mpaka ingeonekana kama anachukiwa ila sisi huku tunasema Mungu ni mwenye upendo nae ana haki zake mwisho wa siku wote tunageuka mashoga kwa maandiko yanayotafutiwa utelezi ili tuipende dini.
 
Duuh dogo analala kifudi fudi anamsubiria mjomba jegejo.Ni hudhuni kwa kweli.
 
Back
Top Bottom