Msanii Langa afariki Dunia!

"Mashati ya kaki,marashi ya issey miyake ukinchek mwenyewe msafiichokoza uone moto sitokei masaki natokea king'oko"

Rest in the perfect peace Ninja
 
RIP Langa...Matawi ya Juu will always be in my Top Five!
 
rip Langa..nakumbuka zile nyakati tunakutana mwananyamala ulikuwa kwenye hali mbaya sana,baadae nikaskia umeacha...sijui ikawaje tena wakati uliapa kutorudi nyuma, anyway upumzike kwa amani
 
Kama kawa! Watu weusi tumeshawazoea, yaani tayari mmeshaifanyia uchunguzi maiti na tayari mna majibu!! Unafki mtaacha lini ninyi waafrika!!?

Kwahiyo, weni mtu mweupe!?
 
Mfululizo wa vifo dunianunaenda kwa kas sana hiii inafaaa kutukumbusha kurudi kwa mola
 
Mbona vituo vya redio havishabikii kama ilivyokuwa kwa ngwea?
 
Kwana naenda kwa kupusha nanunua ganja...........


Kitu nanyonga mwenyewe simuamini pusha......


R.I.P matawi ya Juu.
 
Kuna maswali mengi yanaumiza watanzania kutokana na vifo vya wasanii wetu ..najua ukiwa kama mtanzania uliependa nyimbo za langa unaitaji kujua mdau wako amefariki na nini??bado tunaendelea kupata habari ingawa ma daktari husika wameapa kutotoa majibu ya kifo chake labda waruhusiwe ama ndugu ndio wenye uwezo wa kutoa majibu haya......@swali zito na kubwaa je ndugu yetu kaka yetu kipenzi langa amefariki na nini jamani kifocha gafla??ni vigumu kuamini na pia kuelewa kilichototkea juu yake maana inaaminika amekutwa na malariaa mingi kupita kiasi je n=mingi ni 500?800??1000??bado ma dk nddio waliokuwa na uwezowa kueleza hili!!!!!!!!!!!ama ndugu zake......swali linakuja hivi yale majibu ya mrehemu ngwea yaliruhusiwa na nani kutolewa kule hospitalini??na kama ma dk wa ahuku wanasema mpaka ndugu zake je ndugu wa nani alieenda huko southafrica kuidhinisha majibu ya ngwea??na kama ma dk waliweza kuyatoa hadharani je sitokuwa na wasiwasi wa hawa ma daktari wetu wa tanzania kwa kuficha majibu ya langa??ndugu zangu tunapita na mwisho kwa niaba ya wana jf nawapa pole wote wapenzi wa music wa langa sitokuwa na hekima kutowapa pole wana familia mzee wetu kileo pale mikocheni na mama yetu vanesa najua mko kwenye msiba mzito mungu awape nguvu za kuweza kushinda majaribu haya ya dunian bwana ametoa bwana ametwaaaa jina lake limihidiwe amen amen amen
 
RIP Langa; poleni familia, poleni wanamuziki wote na watanzania. Langa hongera umekufa ukiwa umejitambua. Lala pema peponi. Ameni:yell::nod:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…