Bandu Ncheche
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 512
- 326
Huwa najiuliza, hawa wavaa vichupi walizaliwa na binadamu au mashetani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je! Ana undugu na Nesta Sanga muimba gospelhuyu si alikuwa muimba kwaya huyu, sijui wazee wazee wake watu wa dini? mbona amekuwa na mambo ya hovyo ivi? jinga sana
kwakweli na mimi nilivoishi bila dada ndo kila kitu maishani mwangu nilikiona kigeniHiyo hatari sana kwa vivazi vya sasa kila kitu wanajua wakati zamani mtu una miaka 15 bado huelewi kitu
Mwenyewe kafupi balaa kila kitu kuiga tu.Huwa najiuliza, hawa wavaa vichupi walizaliwa na binadamu au mashetani?
hahaha hahaha[emoji12] [emoji12] [emoji12]Mtoto wa kwanza anafanya ujitoe fahamu?
Mdada wewe tayari umepewa mama maana naona unaweza faa kumlea mwanangu..!Huyu dada ni limbukeni.
hivi nani anawapaga mimba hawa wasojiheshimu???
mm kwakweli mambo ya kukaa uchi siwezi[emoji23]Mdada wewe tayari umepewa mama maana naona unaweza faa kumlea mwanangu..!
Hahahah..![emoji23] [emoji23] tukiwa wote utakaa eti???mm kwakweli mambo ya kukaa uchi siwezi[emoji23]
Hahahah..![emoji23] [emoji23] tukiwa wote utakaa eti???
ntakaa
Ila ujajibu swali umeisha pewa??[emoji125] [emoji125] [emoji125]