Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lijinga sana hili libidada, kuanzia Leo navunja CD zote zenye Nyimbo zake, flash hata memory card nafuta kabisa! Sipendagi ujinga Mimi,!View attachment 504899 Linah apokea kichambo kwa picha hizi
Msanii wa muziki Bongo Linah Sanga, wiki hii ameamua kutoa picha za muonekano wa tumbo lake lilivyo kwa sasa.
Katika moja ya picha, baadhi ya watu na wadau wa msanii huyo wamemtupia maneno huku wengine wakimtaka avae dera kama nia ni kuonesha tumbo lake.
Wengine wameishia kusema "wanga" ni wengi,unaweza kupigwa jicho tu la husda ukaishia kuzaa mjusi.Hali hii imefanya watu waamini ni kinyume cha maadili na kuiga utamaduni wa magharibi kuonyeshatumbo lenye ujauzito
Hapana, huu ni upuuzi. Anamuonesha nani??Mbna kina Beyonce wakipiga mnaishia kugonga like... Wabongo acheni unafiki
Hicho ni kipindi kitamu sana kwa kijana ukifika utajua
Kwani kaishamzaa kwa usalama kwanza? Si angoje azaliwe, anaweza akawa na hilo limimba na asizae au mtoto au mama akafa, we unadhani ujauzito ni jambo la mzahamzaha hivi!Mnaomtukana hamjui raha ya mtt wa kwanza
ZotePicha yake halisi ni hipi kati ya hizo mbili Kwanza kabla sjaanza kuchangia
Mkuu naheshimu mawazo yako.Kuna kitu mimi sikielewi katika maisha ya kila siku ya binadamu. Kwanini sisi walimwengu ni wepesi sana kuhukumu maisha ya wenzetu???? Yaani ukisoma bandiko la huyu mwenzetu it is like.....yeye is super human. Na kila mtu inabidi aishi na kuyaona maisha yeye anavyoyaona. What makes you think that you can impose your values on others? Umeshamuhukumu ni Limbukeni, Malaya, hajiheshimu. Sidhani kama uko sahihi. Jitafakari.
Tuache kuhukumu maisha ya wengine. Linah ana amaisha yake. Let her do what makes her happy.
Mimi simjui na wala si shabiki wake huyu dada. Lakini naamini ana haki ya kufanya anayoyafanya na mwili wake.
Kuna siku CNN walipost tumbo la Beyonce na kuandika "thats what the America have been waiting for" ningependa uuone jinsi wamarekani walivyo react. Huu ni upuuziSawa.kwa kuwa lina ni wa kwanza kufanya hivyo.simtetei.ila kwanini asemwe yeye peke ake.au kwa kuwa Beyonce ni black America hajui kiswahili.
Itabidi mzazi astaafu kuhubiri. Maana kama mtoto kamzidi kidogoo keteSimuhurumii yeye ila ninamhurumia mzazi wake haswa anapokuwa akiinjilisha...
Ni moyo mkubwa sana lakini ni akheri mtu asikie yaliyo ya sirini lakini si kujianika hivyo...
Mungu anajua kuwa hatupaswi kuhukumu wengineo ila tuache maisha yawe hakimu wake lakini siamini chozi la mzazi wake kama litaenda bure...
Katiba inaingiaje hapa wewe?w
wanajifanya kuiga mila za magharibi ndio tatizo, wameona amberose kapiga picha hivyo na wao haaaooo, badala ya mtu kufanya yako ukaheshimika wao ndio unataka kutuletea yaaale ati ooh Israel na Uingereza hawana katiba, kwani ni lazima tuwafate wao badala ya kufanya yetu?
Kuna watu wanaishi maisha fake mkuu...ingekuwa ndo mm nimempa hiyo mimba unatamani uichukue hadi ikue, but Noway ! Ujinga ujinga ujingaKuna siku CNN walipost tumbo la Beyonce na kuandika "thats what the America have been waiting for" ningependa uuone jinsi wamarekani walivyo react. Huu ni upuuzi
Acha upumbavu. Mikosi inaanziaga hapohapoMnaomtukana hamjui raha ya mtt wa kwanza
si ndio mnapenda kuiga mambo ya wenzenu, mie nimetolea mfano tu kuwa kuiga iga hakuna maana, flani kafanya hivi na wewe lazima ufanye vile vile, haina maana, fanya yako uheshimikeKatiba inaingiaje hapa wewe?
Hapo sasa. Halafu unakuta kuna mtu kabisa na akili zake huko mitaani anatamba kabisa kwamba eti huyu ndio dem wake!Huyu dada nilimuona fala siku ile anadai ametoa "mimba kama mbili hivi". Means hana uhakika so huenda ni zaidi ya hizo. Issue si kutoa mimba ila ujinga ni kukiri umetoa mimba kwenye media. Sio kila kitu ulichofanya kila mtu ajue, uchafu mwingine unabaki nao wewe mwenyewe ukimuomba Mungu akusamehe.
Katiba yetu inatupa haki ya faragha " privacy " sasa akianika hivo anamvunjia haki ya kikatiba mwenzi wake ya kuwa na Uhuru wa faragha mkuu.Katiba inaingiaje hapa wewe?
Unataka kutuambia Tanzania nzima hii ni wasanii tu wanayoijua raha ya mtoto wa kwanza?Mnaomtukana hamjui raha ya mtt wa kwanza
Beyonce .....Mnaomtukana hamjui raha ya mtt wa kwanza