Msanii Lina Sanga aporomoshewa matusi kwa kuanika picha za nusu utupu za ujauzito wake

Mkinga ndani ya jiji. Keshaweuka
 
Lijinga sana hili libidada, kuanzia Leo navunja CD zote zenye Nyimbo zake, flash hata memory card nafuta kabisa! Sipendagi ujinga Mimi,!
 
Mbna kina Beyonce wakipiga mnaishia kugonga like... Wabongo acheni unafiki

Hicho ni kipindi kitamu sana kwa kijana ukifika utajua
Hapana, huu ni upuuzi. Anamuonesha nani??
Kama ni furaha ya mimba basi piga picha weka chumbani kwako, ziangalie zikutoshe.
Mi mwenyewe my wife anakaribia kujifungia lakini tumbo lake analijua nesi tu na mimi.
Ya nini hasa??
 
Mnaomtukana hamjui raha ya mtt wa kwanza
Kwani kaishamzaa kwa usalama kwanza? Si angoje azaliwe, anaweza akawa na hilo limimba na asizae au mtoto au mama akafa, we unadhani ujauzito ni jambo la mzahamzaha hivi!
 
Shwaini kabisa... Wanawake wa siku hizi kumbe ni hovyo hivi.. Halafu wanalia hwmawaolewi...
 
Mkuu naheshimu mawazo yako.
Lakini, kupiga picha sio kosa. Kila mtu anapiga picha kwa ajili ya kumbukumbu zake.
Shida ni je kwa nini uexpose kwa watu??
Watu wakiona tumbo lako na toothpick zako inawasaidiaje/inakusaidiaje??
Hata mimi nina mke, hata wewe una mke/mme inakusaidia nini kuonesha mwili wako kwa watu wasiohusika??
 
Sawa.kwa kuwa lina ni wa kwanza kufanya hivyo.simtetei.ila kwanini asemwe yeye peke ake.au kwa kuwa Beyonce ni black America hajui kiswahili.
Kuna siku CNN walipost tumbo la Beyonce na kuandika "thats what the America have been waiting for" ningependa uuone jinsi wamarekani walivyo react. Huu ni upuuzi
 
Itabidi mzazi astaafu kuhubiri. Maana kama mtoto kamzidi kidogoo kete
 
Katiba inaingiaje hapa wewe?
 
Kuna siku CNN walipost tumbo la Beyonce na kuandika "thats what the America have been waiting for" ningependa uuone jinsi wamarekani walivyo react. Huu ni upuuzi
Kuna watu wanaishi maisha fake mkuu...ingekuwa ndo mm nimempa hiyo mimba unatamani uichukue hadi ikue, but Noway ! Ujinga ujinga ujinga
 
Huyu Dada mshamba Na aliyemwoa pia mshamba,jinga kabisa
 
Katiba inaingiaje hapa wewe?
si ndio mnapenda kuiga mambo ya wenzenu, mie nimetolea mfano tu kuwa kuiga iga hakuna maana, flani kafanya hivi na wewe lazima ufanye vile vile, haina maana, fanya yako uheshimike
 
Hapo sasa. Halafu unakuta kuna mtu kabisa na akili zake huko mitaani anatamba kabisa kwamba eti huyu ndio dem wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…