Msanii Lina Sanga aporomoshewa matusi kwa kuanika picha za nusu utupu za ujauzito wake

Msanii Lina Sanga aporomoshewa matusi kwa kuanika picha za nusu utupu za ujauzito wake

Hawa ndio wanaofanya Dada zetu waonekane wana akili za kuvukia Barabara tu.

Huyu bint kama sio mkinga, halafu baba yake si ni mchungaji?

View attachment 504899 Linah apokea kichambo kwa picha hizi

Msanii wa muziki Bongo Linah Sanga, wiki hii ameamua kutoa picha za muonekano wa tumbo lake lilivyo kwa sasa.

Katika moja ya picha, baadhi ya watu na wadau wa msanii huyo wamemtupia maneno huku wengine wakimtaka avae dera kama nia ni kuonesha tumbo lake.

Wengine wameishia kusema "wanga" ni wengi,unaweza kupigwa jicho tu la husda ukaishia kuzaa mjusi.Hali hii imefanya watu waamini ni kinyume cha maadili na kuiga utamaduni wa magharibi kuonyeshatumbo lenye ujauzito
 
Hawa ndio wanaofanya Dada zetu waonekane wana akili za kuvukia Barabara tu.

Huyu bint kama sio mkinga, halafu baba yake si ni mchungaji?
Baba kuwa mchungaji siyo tatizo yeye ni mtu mzima ajitambue mwenyewe.Flora mbasha ni mjukuuu wa Marehemu askofu mozes kulola lakini ujinga anaoufanya hata shetani anamshangaa maana ni wa 4g.
 
Marafiki alionao ndio matokeo yake haya. Saiv anataka maisha ya juu,ya mashindano mitandaoni
kipindi anatoka nilikuwa namuona kama mshamba flan hivi, sasa sku hozi tena naona kazidisha u much know.
anahangaika kweli
 
Hiki ni kituko na aibu kwa wazazi wake waliomlea, hawa mabinti wanatoka familia zinazojiita zenye maadali ya dini wanatia sana aibu
 
Marafiki alionao ndio matokeo yake haya. Saiv anataka maisha ya juu,ya mashindano mitandaoni
anazingua, sasa mtu miaka inaongezeka lakin akili zarud nyuma, ukute anashinda sana na ma teenager maana ndio akili anazo onesha now teh teh!
 
Kama ameamua kukaa uchi, angotoa na hiyo miwani ya matiti ili tumtolee point kama anafaa au hafai. Anawaaibisha wanawake wenzie.
 
Njaa mbaya sana nakuwa msanii bongo ni laana kubwa Mungu saidia watoto wangu wasitaman kuingia fun hii laaniwa
 
Ukikuta anahojiwa na vyombo vya habari utasikia anasema amekulia kwenye maadili ya kikanisa, ni kanisa gani hilo ambalo halijamfunza vzr... Maadili gani haya ya kikanisa? Hivi wazazi wake wako hai kweli huyu binti....
 
Tatizo mitandao hii ndo inaharibu hawa madada zetu yani wanashindwa kdistinguish kipi cha kupost na kipi si cha kupost.

Tuwasamehe tu
 
Mnaomtukana hamjui raha ya mtt wa kwanza
Hiyo sio mwanae wa kwanza alishakiri kuwa alishatoa mimba kadhaa hivyo kumfanya kuwa mama wa marehemu. Kutoa mimba hakumuepushi MTU kutokuwa mama Bali atajulikana kama mama wa marehemu. Over
 
Back
Top Bottom